Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilabu za Ulaya kukutana kuhusu Qatar 22

Kilabu za Ulaya zitakutana ili kutoa ombi kwa shirikisho la FIFA kuandaa michuano ya dimba la dunia nchini Qatar mwezi Aprili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wachunguzi kukutana na maafisa Qatar

Waandalizi wa kombe la dunia 2022 Qatar, kukutana na mchunguzi wa shirikisho la soka duniani FIFA

 

11 years ago

BBCSwahili

Qatar kwenda kortini kuhusu 2022.

Kamati andalizi ya Qatar 2022 inatafakari kuishtaki FIFA kuzuia marudio ya kura ya uwenyeji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Merkel kukutana na Obama kuhusu Ukraine

Kiongozi wa Ujerumani kukutana na rais Obama kujadiliana kuhusu kuwepo kwa amani Ukraine

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.

PG4A5517

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw.  Otty Msuku  ambaye ni Mtanzania ,  Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar  wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5521

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty

Qatar imepinga madai ya Amnesty International kuwa inawadhulumu wafanyikazi wanaojenga viwanja

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya kuhusu ufisadi Ulaya

Kamishna wa bara ulaya anayesimamia maswala ya ndani ya bara hilo ameonya kuhusu viwango vikuu vya ufisadi miongoni mwa nchi wanachama wa bara hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majibizano makali kuhusu wahamiaji Ulaya

Kumeibuka majibizano makali baina ya viongozi wa mataifa ya bara ulaya katika mkutano wa kujadili hatima ya wahamiaji Ulaya

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu wahamiaji wafanyika Ulaya

Mawaziri kutoka nchi za Ulaya wanakutana nchini Luxembourg hii leo kuzungumzia mipango ya kukabiliana na maelfu ya wahamiaji

 

9 years ago

BBCSwahili

Hungary yaaibisha Ulaya kuhusu wakimbizi

Kiongozi wa Austria aishambulia Hungary kwa yale inayowatendea wahamiaji wanaopita nchi hiyo kuelekea kaskazini mwa Ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani