Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachunguzi kukutana na maafisa Qatar

Waandalizi wa kombe la dunia 2022 Qatar, kukutana na mchunguzi wa shirikisho la soka duniani FIFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kilabu za Ulaya kukutana kuhusu Qatar 22

Kilabu za Ulaya zitakutana ili kutoa ombi kwa shirikisho la FIFA kuandaa michuano ya dimba la dunia nchini Qatar mwezi Aprili

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.

PG4A5517

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw.  Otty Msuku  ambaye ni Mtanzania ,  Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar  wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5521

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty

Qatar imepinga madai ya Amnesty International kuwa inawadhulumu wafanyikazi wanaojenga viwanja

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachunguzi waanza kazi Ukraine

Wachunguzi wa kimataifa wako katika eneo la mkasa wa ndege ya Malaysia, Ukraine baada ya baraza la usalama la UN kupitisha azimio.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachunguzi wa Urusi wawasili Misri

Kundi la wachunguzi wa Urusi wamewasili nchini Misri kubaini ni kitu gani kilisabasisha kuanguka kwa ndege ya Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama ataka wachunguzi kutumwa Ukraine

Rais Obama ametangaza mapendekezo ambayo huenda yakatoa suluhu kwa mzozo wa Ukraine, ikiwemo kuwatuma wachunguzi wa kimataifa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Wachunguzi wa kimataifa kuwekwa karantini

Huku ikiwa imesalia siku 10 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Burundi, serikali imesema kwamba wachunguzi wote wa uchaguzi utakaofanyika tarehe 20 Mei 2020 watalazimika kufuata maagizo ya kukabiliana na virusi vya corona.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachunguzi watafuta chanzo cha moto Dubai

Wachunguzi mjini Dubai wanajaribu kubaini chanzo cha moto uliozuka katika hoteli ya kifahari mkesha wa mkesha wa Mwaka Mpya na kujeruhi watu kadha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani