Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILICHOTOKEA KWENYE XXL YA CLOUDS FM JUNE 02, 2014

Watangazaji wa Kipindi cha XXL kinachoruka Clouds FM kuanzia saa 7 mchana hadi saa 10 jioni, Adam Mchomvu (kushoto), Hamis Mandi 'B12' (katikati) na Dj Fetty.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Baada ya kusikika tena kwenye XXL, DJ Fetty ajibu kama amerejea rasmi Clouds

Fetty2

Ijumaa ya November 20 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wasikilizaji wengi wa Clouds Fm hasa wa kipindi cha burudani XXL, baada ya kupata surprise ya kumsikia tena mtangazaji maarufu na anayependwa Fatma Hassan maarufu kama DJ Fetty kwenye kipindi hicho, ikiwa ni miezi miwili imepita toka alipotangaza kuacha kazi ya utangazaji September 15 mwaka huu.

Fetty2

Wengi wao walicomment kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kuelezea furaha yao, na kwasababu hakusema kama amerudi rasmi kutangaza au laa,...

 

10 years ago

CloudsFM

MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka

 

11 years ago

Michuzi

TAMASHA LA ZIFF June 14 to June 22, 2014

Festival Program 2014 Festival Program 2014 TIMES and VENUES for SCREENINGS     Read more. BONGO MOVIES SELECTION BONGO MOVIES SELECTION   Mimi na Mungu wangu: Dir. Iddy Bigilwa Fan's Death: Dir.Vincent Kigosi Hard Price: Dir.Vincent Kigosi Twisted: Dir.Vincent Kigosi Foolish Age: Dir. Chiddy Classic Dala dala: Dir.Suleiman Barafu Money Talk: Dir. Haji Adam Witch Doctor: Dir. Leah R. Mwendamseke Bad Luck: Dir.Adam Kuambiana Vanessa in Dilemma: Dir.Saguda George Kitendawili: Dir. Single Mtambalike Zero (Short Film) Dir. Adam...

 

10 years ago

CloudsFM

MSHINDI WA BBA IDRISS SULTAN AKIWA LIVE KWENYE XXL

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa''BBA'',Idriss Sultan akisalimia na mtangazaji wa kipindi cha xxl cha Clouds Fm,B Dozen wakati akizungumzia ushindi wake.Idriss akiwa na msanii John Makini...PICHA ZAIDI ZINAKUJA..

 

9 years ago

Bongo5

Video: Young D akizungumzia kutengana na meneja wake na tetesi za kuvuta unga kwenye XXL

Tazama mahojiano ya Young Dee kupitia kipindi XXL ya Clouds Fm, alipokuwa akizungumzia kuhusu kutengana na label yake ya zamani MDB. Hii ni baada ya boss wa kampuni hiyo Max Rioba kudai kuwa rapper huyo alizingua. Itazame interview yote hapa Kama hukupata nafasi ya kuisikiliza iliporuka wiki iliyopita. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi […]

 

9 years ago

Bongo5

Njemba awaunganisha ex wake kwenye group la WhatsApp kuwatakia heri ya Christmas, kilichotokea ni balaa!

GettyImages-141476527

Umewahi kujiuliza inaweza kuwaje pale unapowakutanisha wapenzi wako wote wa zamani pamoja? Raha zaidi wakiwa wengi?

GettyImages-141476527

Ni mtihani kwa wanaume wengi lakini si kwa jamaa huyu aliyeamua kuwaunganisha ex wake na kuwatakia sikukuu njema ya Christmas ama kama yeye alivyoiita ‘ex-mas.’ Kijana huyo jasiri aitwaye Tom, alikuwa amekula bia mbili tatu na kupata ujasiri wa kuanzisha kundi la WhatsApp na kuwaunganisha maex wake wanne.

Hata hivyo wasichana hao Gemma, Bella, Steph na Lisa hawakupendezwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson

Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji  Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu  afunguaka mazito kupitia ukurasa wake mtandaoni.

Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;

Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa

Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani