Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimbunga chafanya uharibifu Vanuatu

Kimbunga kikali chakumba kisiwa cha Vanuatu katika kile umoja wa mataifa unasema kinaweza kuwa janga baya zaidi eneo la Pacific

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Pam:Vanuatu wahitaji chakula

Wananchi wa Vanuatu wanahitaji msaada wa chakula na huduma za afya kufuatia kimbunga kikali kilichoipiga nchi hiyo

 

11 years ago

Michuzi

NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini.
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada yawasili kisiwani Vanuatu

Msaada wa dharura umeanza kuwasilishwa katika visiwa vilivyoathiriwa vibaya na kimbunga Pam nchini Vanuatu wiki iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya hatari yatangazwa Vanuatu

Rais wa Vanuatu ameiambia BBC kuwa watu wengi wameachwa bila makao kutokana na kimbunga kikali kilichokumba kisiwa hicho

 

11 years ago

Michuzi

CUF chafanya uchaguzi wake Wilaya ya Mjini

 Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na wanachama wakati akiwasili ukumbi wa Basra Mtoni Kidatu kwa ajili ya uchaguzi wa CUF Wilaya ya Mjini
 Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,  alipowasili ukumbi wa Basra Mtoni Kidatu kwa ajili ya uchaguzi wa CUF Wilaya ya Mjini
 Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Hamad Massoud Hamad akizungumza wakati akifungua mkutano mkuu wa uchaguzi Wilaya ya Mjini katika ukumbi wa Basra Mtoni Kidatu.
Baadhi ya wajumbe wa...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA ACT CHAFANYA MKUTANO MKOANI SHINYANGA


Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Anna Mngwhira, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga jana kwenye viwanja vya CDT,wakati wa mkutano wa chama hicho wakutafuta uungwaji mkono kwa wananchi. (Picha na Said Powa)Wananchi wa mji wa Kahama wakiwashangilia viongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya CDT Mjini hapa.
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo,Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga kwenye mkutano...

 

10 years ago

GPL

CHUO CHA TIBA IMTU CHAFANYA MAHAFALI YA SABA LEO

Wahitimu mbalimbali wakipewa vyeti.…

 

10 years ago

Michuzi

CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR CHAFANYA MAHAFALI YAKE YA SITA

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo mewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali.Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya hayupo pichani wakati wa sherehe ya Mahafali ya Sita ya Chuoni hapo.Mwanafunzi Bora Chuoni...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR CHAFANYA SHEREHE ZA MAHAFALI YA TANO

Mkurugenzi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Bi. Zulekha Khamis Omar akitoa maelezo juu maendeleo ya Chuo katika Mahafali ya tano Chuoni hapo. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Khamis Mussa Omar akieleza machache kuhusu muelekeo wa Chuo hicho na kumkaribisha Mgeni rasmin kutunuku vyeti kwa wahitimu. Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akizunguza na wahitimu mbalimbali (hawapo pichani) mara baada ya kuwatunuku vyeti na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani