CUF chafanya uchaguzi wake Wilaya ya Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-RWg0v-PF5b4/U4sGgZ1P9hI/AAAAAAAFm54/5JrLRNRxgT4/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na wanachama wakati akiwasili ukumbi wa Basra Mtoni Kidatu kwa ajili ya uchaguzi wa CUF Wilaya ya Mjini
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, alipowasili ukumbi wa Basra Mtoni Kidatu kwa ajili ya uchaguzi wa CUF Wilaya ya Mjini
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Hamad Massoud Hamad akizungumza wakati akifungua mkutano mkuu wa uchaguzi Wilaya ya Mjini katika ukumbi wa Basra Mtoni Kidatu.
Baadhi ya wajumbe wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Nov
 CUF kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Tabora mjini.
Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Tabora kimeazimia kufungua kesi mahakamani mapema wiki hii kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya mgombea wa CCM aliyetangazwa kuwa mshindi wa Jimbo la Tabora Mjini.
Kauli hiyo imetolewa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mgombea wa CUF alipata kura nyingi zaidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi.
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia CUF chini ya mwamvuli wa UKAWA, Peter Mkufya akisisitiza kwenda mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuporwa...
10 years ago
GPLCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR LEO.
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ALIPOTEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI
10 years ago
MichuziMBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s2tjgbAWja0/VePcbDSzvLI/AAAAAAAAUWA/YeQHlv2TfV4/s72-c/DSCF0002%2B%25281280x960%2529.jpg)
CHADEMA MOSHI MJINI WATANGAZA ILANI YA UCHAGUZI YA JIMBO LA MOSHI MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2tjgbAWja0/VePcbDSzvLI/AAAAAAAAUWA/YeQHlv2TfV4/s640/DSCF0002%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DNyvk5M7mzo/VePcomE12qI/AAAAAAAAUWU/5LvpjLa6tkA/s640/DSCF0020%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TaxfzPIEZnw/VePcbozdk9I/AAAAAAAAUWM/xXU53OsWa9E/s640/DSCF0008%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BEHMerDtb7o/VePcaS2HAKI/AAAAAAAAUV8/zEKEu2J4cH8/s640/DSCF0011%2B%25281280x960%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo16 Jun
Uchaguzi mkuu CUF waiva
SAFU mpya ya uongozi wa Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) inatarajiwa kupatikana mwezi huu katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo, jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi31 Oct
CUF: Hatutarudia uchaguzi wa Zanzibar
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
CUF yasikitishwa kuvurugwa uchaguzi
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesikitishwa na kitendo cha Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa makusudi na kuandaa machafuko kwa kutunga kanuni zisizotekelezeka. Pia...