Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimei atoa somo kuokoa mamilioni

Wataalamu wa Manunuzi na Ugavi nchini wametakiwa kuimarisha mifumo inayoongoza taaluma hiyo ili kuokoa mamilioni ya fedha za umma zinazopotea kwa kununua bidhaa zisizo na umuhimu kwa idara za Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtaji wa Sh100,000 unaolenga kuokoa mamilioni

“Niliamua kuanza mradi wa kutengeneza majiko kwa lengo la kuokoa mamilioni ya miti yanayotoketea kwa kutumiwa kupikia,” anasema Michael Sanga, mjasiriamali anayeishi Kyela mkoani hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

TAMBIKO: DC atoa kafara kuokoa miradi ya umeme, maji

>Mkuu wa Wilaya ya Chemba, mkoani Dodoma Francis Mtinga amelazimika kuwapa wazee wa kimila kondoo wawili kwa ajili ya tambiko la kuwaondoa nyoka wanaodaiwa kuzuia miradi ya maendeleo.

 

10 years ago

GPL

JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI

Stori: Mayasa Mariwata SOMO! Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’, ametoa somo kwa baadhi ya wasanii wa kike ambao wamekuwa wakijibweteka na kushindwa kudumisha upendo kwa wapenzi wao baada ya kujifungua. Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akipiga stori na paparazi wetu, Johari alisema miongoni mwa vitu ambavyo huwashushia upendo wanawake wengi ni uchafu baada ya kuzaa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba atoa somo bungeni

Mchumi aliyebobea Profesa Ibrahimu Lipumba, amepinga kauli za kuwa Serikali tatu ina gharama na badala yake akasema wanaopendekeza hizo hawana nia njema na Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea CCM atoa somo

WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.

 

10 years ago

GPL

DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO

Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...

 

11 years ago

Mtanzania

JK atoa somo la maendeleo Afrika

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON

RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.

Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.

Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.

“Kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Atoa somo kuhusu polisi jamii

KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini, Mussa Alli Mussa, amewataka wadau wa ulinzi na usalama, maofisa wa polisi na askari kote nchini, kuhakikisha wanaielewa dhana ya polisi jamii kwa ufasaha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi atoa somo kwa wanahabari

MWENYEKITI wa Kampuni za IPP Reginald Mengi amewataka waandishi wa habari wa Afrika kuandika habari zinazohusu jamii hasa zile zinazogusa maisha yao halisi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani