Kimei atoa somo kuokoa mamilioni
Wataalamu wa Manunuzi na Ugavi nchini wametakiwa kuimarisha mifumo inayoongoza taaluma hiyo ili kuokoa mamilioni ya fedha za umma zinazopotea kwa kununua bidhaa zisizo na umuhimu kwa idara za Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Mtaji wa Sh100,000 unaolenga kuokoa mamilioni
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TAMBIKO: DC atoa kafara kuokoa miradi ya umeme, maji
10 years ago
GPLJOHARI ATOA SOMO LA UZAZI
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Lipumba atoa somo bungeni
10 years ago
Habarileo07 Dec
Mgombea CCM atoa somo
WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.
10 years ago
GPLDUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
11 years ago
Mtanzania08 Aug
JK atoa somo la maendeleo Afrika
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.
Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.
Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.
“Kwa...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Atoa somo kuhusu polisi jamii
KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini, Mussa Alli Mussa, amewataka wadau wa ulinzi na usalama, maofisa wa polisi na askari kote nchini, kuhakikisha wanaielewa dhana ya polisi jamii kwa ufasaha.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Mengi atoa somo kwa wanahabari
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP Reginald Mengi amewataka waandishi wa habari wa Afrika kuandika habari zinazohusu jamii hasa zile zinazogusa maisha yao halisi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na...