Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana- Wakulima watafutiwe masoko

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amehimiza Serikali kuangalia namna ya kusaidia wananchi kutafuta masoko kwa ajili ya mazao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali kutafutia wakulima masoko

>Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Serikali inaendelea na mikakati mbalimbali ya kuwatafutia wakulima masoko na pia kuongeza Sh45 bilioni kwa ajili ya kununua mazao yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Masoko kwa wakulima bado kitendawili

Kilimo ni sekta mama kwa uchumi wa Tanzania, inaajiri karibu asilimia 80 ya Watanzania, wengi wao wakiishi vijijini. Mbali na ajira, kilimo ndiyo chanzo kikuu cha chakula kwa taifa na huchangia asilimia 50 ya Pato la Taifa na asilimia 75 ya mauzo ya nje.

 

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

Michuzi

TBL Plc kushirikiana na WFP na FtMA kuwezesha wakulima wa mtama na kuwapatia masoko nchini Tanzania.

Kampuni ya TBL Plc imekubaliana kushirikiana na taasisi yaFarm to Market Alliance (FtMA) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) upande wa Tanzania kuwezesha wakulima wadogowadogo wa zao la mtama nchini.Ushirikiano umeanza kwa mradi wa majaribio ambapo TBL Plc imekubali kununua mtama utakaozalishwa na wakulima wadogo wapatao 1,400 kutoka mikoa ya Dodoma na Manyara.Chini ya ushirikiano huo wakulima wa mtama wanawezeshwa kupatiwa mbegu,bima ya mazao,eimu kuhusiana kilimo cha mtama,huduma...

 

11 years ago

Habarileo

Dhuluma kwa wakulima yamsikitisha Kinana

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesikitishwa na taarifa ya wakulima wa tumbaku kuhusu dhuluma wanayofanyiwa na vyama vya ushirika na wanunuzi wa tumbaku yao kila msimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana aahidi kusaidia wakulima Mponde

>Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi kulitafutia ufumbuzi tatizo la wakulima wa chai katika Jimbo la Bumbuli ndani ya mwezi mmoja ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Ruzuku ya pembejeo haijanufaisha wakulima

SERIKALI imeitakiwa kufanya tathimini na kupitia upya mfumo wa ruzuku ya pembejeo katika kilimo, hasa kutokana na kuonesha kushindwa kufanya kazi vizuri katika maeneo mengi nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana akerwa vikwazo kwa wakulima Rukwa

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana, amesema tatizo la wakulima wa Mkoa wa Rukwa, kuwekewa vikwazo na kupangiwa maeneo na muda wa kuuza mazao yao ni lazima liwe historia ili waondokane na umasikini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani