Serikali kutafutia wakulima masoko
>Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Serikali inaendelea na mikakati mbalimbali ya kuwatafutia wakulima masoko na pia kuongeza Sh45 bilioni kwa ajili ya kununua mazao yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Oct
Kinana- Wakulima watafutiwe masoko
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amehimiza Serikali kuangalia namna ya kusaidia wananchi kutafuta masoko kwa ajili ya mazao.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Masoko kwa wakulima bado kitendawili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zmcSsn4xX2E/Xp7OXfAL6NI/AAAAAAALntY/FLR7-AFAMtkQDWcrfyjq9Hjvr2AxzWH7gCLcBGAsYHQ/s72-c/c03b4906-1b0e-4b36-a440-a5c766cf8bc5.jpg)
TBL Plc kushirikiana na WFP na FtMA kuwezesha wakulima wa mtama na kuwapatia masoko nchini Tanzania.
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Masoko ya fedha, dhamana za serikali na faida zake
ASILIMIA kubwa ya watanzania hawafahamu maana ya masoko ya fedha, soko la dhamana za serikali na faida zake, jambo linalowafanya wengi kuwekeza mamilioni ya fedha kwenye biashara ambazo mwisho wa...
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali yatakiwa kuwapa maeneo, masoko wachimbaji wadogo
Wachimbaji wadogo wadogo katika machimbo ya bati ya Nyaruzumbula wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameilalamikia Serikali kwa kuwanyima maeneo ya kuchimbia na kutoa leseni kwa wachimbaji wakubwa.
Aidha wachimbaji hao wamesema wanaathirika na bei ndogo inayotumika kununulia madini hayo kutoka kwa madalali ambao hunufaika baada ya kuuza madini hayo kwa bei kubwa kwa wateja wakubwa.
Machimbo ya madini ya bati yaliyopo katika kijiji cha Nyaruzumbula wilayani Kyerwa Mkoani Kagera ,ambayo...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Serikali yaeleza mipango ya kuendeleza masoko jijini Dar es Salaam
Afisa Uhusiano Manispaa ya Ilala Bi. Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa serikali wa kuendelea kuimarisha Masoko katika Jiji la Dar es Salaam, Wakati wa Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Masoko wa Manispaa hiyo Bw. Athuman Mbelwa.
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali yaimarisha masoko 18 katika jiji la Dar es salaam katika kukabiliana na Ongezeko la Mahitaji ya Wananchi.
Hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dZ-1iKB817Q/XutIBUSJvfI/AAAAAAALubE/V2dDvrhikgYwvh3d6c2tdasDRyVDe-EbACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B1.13.49%2BPM.jpeg)
WAVUNAJI WA MISITU KATIKA MASHAMBA YA SERIKALI KUPATIWA MKATABA WA MIAKA MITATU, MTAJI WA BIASHARA NA MASOKO YA MBAO
Prof. Silayo amesema hayo jana mjini Dodoma katika mkutano na wadau wa sekta ya...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Serikali kuinua wakulima wanawake
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Wafugaji, wakulima waibebesha mzigo Serikali
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
JAMII ya wakulima na wafugaji wamedai kutokumalizika kwa migogoro ya ardhi kati ya jamii hizo, inatokana na viongozi wa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao.
Kauli hiyo ilitolewa na mwakilishi wa wakulima kutoka Wilaya ya Kilosa, Airu Mustafa katika kongamano la mwisho la Kigoda cha Mwalimu Nyerere lililofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.
Alisema suluhisho pekee la tatizo hilo, ni kutowapa nafasi watu wanaotaka uongozi katika uchaguzi mkuu...