Kinana aonya uzalishaji gesi dampo la Mtoni
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahaman Kinana, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa mwangalifu na wawekezaji wapya wanaotaka kuchukua mradi wa uzalishaji gesi kwa kutumia takataka katika dampo la Mtoni kwa Azizi Ally.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
Katibu Mkuu Nishati akagua uzalishaji wa gesi asilia Lindi na Mtwara
![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIC-4.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said( mwenye wa pili kulia) akitoa maelekezo kwa msimamizi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
WADAU WA SHUGHULI ZA UZALISHAJI NA UTAFUTAJI GESI,MAFUTA WATOA MAONI RASIMU YA SERA YA PETROLI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrGBCz-EHV8/U5iY9Q-hfsI/AAAAAAAFp0c/4QLXH1nTkwE/s1600/unnamed+(76).jpg)
9 years ago
MichuziZiara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qIrwMatIxuSoUAzU-5EC2G3p3rpaqpJyHIn699NfKFVEJ48-2Rw9oLOYJIgQMc5rkm33j1*LIXUKAwgV2LEEd1/P1070084.jpg?width=650)
KANISA LA GWAJIMA LAGEUZWA DAMPO
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Pugu waeleza kero ya dampo
WAKAZI wa eneo la Pugu Kinyamwezi, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam wameeleza kero na madhara wanayoyapata kutokana na dampo lililopo eneo hilo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima...
11 years ago
Habarileo25 Jul
‘Wadudu wa dampo’wafanya uhalifu Dodoma
KUNDI kubwa la vijana wanaojiita ‘wadudu wa dampo’ limeibuka mjini hapa na kufanya matukio ya uhalifu huku likihusishwa na mauaji ya watu wanne, jambo lililozua hofu na taharuki kwa wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Tanzania haina dampo la taka ngumu’
TANZANIA haina dampo la kutekeleza taka ngumu zenye sumu, bunge lilielezwa jana. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Ummi Mwalimu, alipokuwa akijibu...
10 years ago
GPLWANANCHI WALALAMIKIA DAMPO MAENEO YA MAKAZI