Kinana arusha kombora Ikulu
NA ELIYA MBONEA, DODOMA
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemshauri Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, awachukulie hatua watumishi wote wa Serikali wanaohusishwa na mgawo wa fedha za Escrow.
Akihutubia wakazi wa mji wa Dodoma jana katika viwanja vya Barafu, Kinana alisema haiingii akilini kuona mtuhumiwa wa ufisadi akitokea ofisini kwenda kuhojiwa kuhusu jinsi alivyopewa fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kutokana na hali hiyo, alisema kuna haja kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Kinana awarushia kombora viongozi wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, KARATU
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameanika ufisadi ulioko katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, inayoongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Akihutubia wananchi katika Viwanja vya Mazingira mjini hapa jana, Kinana alisema viongozi wa halmashauri hiyo wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi, ingawa wamekuwa wakilaumu Serikali ya CCM kwamba haiwaletei maendeleo wananchi wake.
“Nyinyi mliochagua Chadema sijui...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Dk. Slaa arusha kombora
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefichua siri kwamba Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeanza kuuza baadhi ya viwanda vya umma kwa wake za marais na wabunge wa chama...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Jaji Mkuu arusha kombora
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amesema kesi za Operesheni Tokomeza Ujangili hazikufunguliwa wala kuamriwa porini bali zilifunguliwa na kusikilizwa kwa mujibu wa sheria katika mahakama. Aliyasema hayo jana katika...
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Dk. Magufuli arusha kombora Ukawa
NA BAKARI KIMWANGA, GEITA
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa kwa kuzungusha mikono, bali yatakuja kwa kufanya kazi.
Kutokana na hali hiyo, amesema yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko ya kweli yanayokwenda na vitendo katika kujenga uchumi wa nchi na watu wake.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza wakati wa mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Buchosa, Geita na...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Lissu arusha kombora lingine kwa mawaziri
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Dk Slaa atua Dar, arusha kombora zito
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s72-c/Christopher-Mtikila.jpg)
Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s400/Christopher-Mtikila.jpg)
KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Kinana amvaa Lowassa Arusha
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eehm53KzMyA/VIY0H_avn_I/AAAAAAACUDk/TPbeeI8phvc/s72-c/D92A6879.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-eehm53KzMyA/VIY0H_avn_I/AAAAAAACUDk/TPbeeI8phvc/s1600/D92A6879.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2kluHJGs03U/VIY0GrdDuLI/AAAAAAACUDc/MUDDWSdDId8/s1600/D92A6897.jpg)