Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KING KIKI ATEMBELEA OFISI ZA GPL

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Kikumbi Mwanza Mpango "King Kiki" akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Baadhi ya wafanyakazi wa GPL wakimsikiliza Mzee King Kiki.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KING KIKI: KILA SIKU NASALI BABU SEYA AACHIWE

Stori: Elvan Stambuli MWANAMUZIKI mkongwe katika muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ amesema huwa anasali kila siku kumuombea mwanamuziki mahiri nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Pakii Kocha’ waachiwe kutoka gerezani. Mkongwe katika muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ akisisitiza jambo katika ofisi za Global...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS DKT.MARY NAGU ATEMBELEA OFISI ZA TASAF

 Waziri wan chi ofisi ya Rais mahusiano na uratibu Dokta Mary Nagu (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na menejimenti ya TASAF kushoto kwake ni mkurugenzi mtendaji wa TASAF Ladislau Mwamanga (mwenye suti  nyeusi). Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga akimtembeza Waziri wan chi Ofisi ya Rais Dokta Mary Nagu katika jingo linalotumiwa kuhifadhi kumbukumbu za walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini.  Waziri wa nchi ofisi ya Rais Dokta Mary Nagu akizungumza na...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.

 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira , January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya utambulisho pamoja na kujadili mambo Mengine yanayohusu Mahusiano kati ya Tanzania na Uturuki.
 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya...

 

10 years ago

GPL

ALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE

Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…

 

10 years ago

Vijimambo

Clarence B. Jones, mshauri wa Dr. Martin Luther King, atembelea White House

President Barack Obama meets with Clarence Jones (2)Rais Barack Obama akiongea na Clarence Jones, ambaye aliwahi kufanyakazi na Martin Luther King, Jr. kwenye hotuba ya “I Have a Dream" , siku ya Jumatatu, Feb. 2, 2015. siku Clarence Jones, alipotembelea White House (Picha kwa hisani ya  White House Photo na Pete Souza)

 

10 years ago

GPL

MAALIM HAMAD ATEMBELEA OFISI ZA AZAM TV

Hamad akizungumza na wafanyakazi wa Azam TV.
Wafanyakazi wa Azam TV wakimsikiliza Hamad. Wafanyakazi wa Azam TV baada ya mazungumzo wakipata picha ya pamoja na Hamad.…

 

11 years ago

GPL

SUMAYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mh. Sumaye akielekezwa na Mhariri Kiongozi wa Global Publishers, Oscar Ndauka, katikati ni Mhariri wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli.
 ….Akisalimiana na Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho ofisini kwake.…

 

9 years ago

GPL

NAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erick Evarist akimkaribisha Katibu Mwenezi wa CCM na Mbunge Mteule wa Jimbo la Ntama, Nape Nnauye. ...Akitoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Global Publishers. Mwandishi wa Global Publishers, Brighton Masalu akimuuliza swali Nape Nnauye.…

 

10 years ago

GPL

NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)

Baadhi ya watendaji wa TANAPA,wakimsikiliza Waziri Nyalandu alipotembelea hifadhi ya taifa ya Arusha.toka kulia ni Meneja Mawasiliano wa TANAPA ,Paschal Shelutete,Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufungulo na Betrita Loibook ,Mhifadhi Mkuu Arusha National Park. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mhifadhi Mkuu Arusha… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani