KING KIKI ATEMBELEA OFISI ZA GPL
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Kikumbi Mwanza Mpango "King Kiki" akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Baadhi ya wafanyakazi wa GPL wakimsikiliza Mzee King Kiki.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rb-YZ7jHfY6ROzstwkBTAS*UsoiODISWAnHA98o-f2Akc9sIYp9so2srEUlkJcrBn6J10yE-3D8xHFy17dyQuU/king.jpg)
KING KIKI: KILA SIKU NASALI BABU SEYA AACHIWE
Stori: Elvan Stambuli MWANAMUZIKI mkongwe katika muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ amesema huwa anasali kila siku kumuombea mwanamuziki mahiri nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Pakii Kocha’ waachiwe kutoka gerezani. Mkongwe katika muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ akisisitiza jambo katika ofisi za Global...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vIxfokiw0hM/VOMupozm4jI/AAAAAAACz6c/nOr2MbcguW8/s72-c/New%2BPicture%2B(3).png)
WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS DKT.MARY NAGU ATEMBELEA OFISI ZA TASAF
![](http://1.bp.blogspot.com/-vIxfokiw0hM/VOMupozm4jI/AAAAAAACz6c/nOr2MbcguW8/s1600/New%2BPicture%2B(3).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wwpTPduKvcg/VOMunInZK_I/AAAAAAACz6U/Oe_x2FCEmsw/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1bY29WSN2do/VOMumAM9HwI/AAAAAAACz6M/_IBsSTui9mM/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
9 years ago
MichuziBALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili ya...
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Clarence B. Jones, mshauri wa Dr. Martin Luther King, atembelea White House
![](https://lh4.googleusercontent.com/-V9dPv-BDVS4/VNBADRJqsNI/AAAAAAACqnE/IT8wSOs3COM/w1017-h846-no/P020215PS-0622.1%5B5%5D.jpg)
![President Barack Obama meets with Clarence Jones (2) President Barack Obama meets with Clarence Jones (2)](http://www.whitehouse.gov/sites/default/files/imagecache/embedded_img_full/image/image_file/p020215ps-0640.1.jpg?itok=dyNx0AQg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNOtzviXOsd2WNGdMk0RErK68w9b2kvUzBXVQtTGzOpas2vwehrugfZDAfCpfHczU8PSA34XRCC4D2NFKjklml-d/IMG20150604WA0019.jpg?width=650)
MAALIM HAMAD ATEMBELEA OFISI ZA AZAM TV
Hamad akizungumza na wafanyakazi wa Azam TV.
Wafanyakazi wa Azam TV wakimsikiliza Hamad. Wafanyakazi wa Azam TV baada ya mazungumzo wakipata picha ya pamoja na Hamad.…
11 years ago
GPLSUMAYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mh. Sumaye akielekezwa na Mhariri Kiongozi wa Global Publishers, Oscar Ndauka, katikati ni Mhariri wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli.
 ….Akisalimiana na Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho ofisini kwake.…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/NAPE-2.jpg?width=650)
NAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erick Evarist akimkaribisha Katibu Mwenezi wa CCM na Mbunge Mteule wa Jimbo la Ntama, Nape Nnauye. ...Akitoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Global Publishers. Mwandishi wa Global Publishers, Brighton Masalu akimuuliza swali Nape Nnauye.…
10 years ago
GPLNYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)
Baadhi ya watendaji wa TANAPA,wakimsikiliza Waziri Nyalandu alipotembelea hifadhi ya taifa ya Arusha.toka kulia ni Meneja Mawasiliano wa TANAPA ,Paschal Shelutete,Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufungulo na Betrita Loibook ,Mhifadhi Mkuu Arusha National Park. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mhifadhi Mkuu Arusha… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania