Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kinguti System’ nyota inayongaa nchini Thailand

Ramadhani KingutiNA VALERY KIYUNGU,

KARIBU msomaji wa safu hii ya Tujikumbushe inayokujia kila siku za Jumamosi, hapa tunapata nafasi ya kuwachambua wasanii mbalimbali waliofanya vizuri miaka ya nyuma kwa lengio la kizazi kipya kijiifunze mengi kutoka kwao.

Wiki hii nipo na mwanamuziki, mtunzi na mpigaji ala za muziki, Ramadhani Kinguti maarufu kama Kinguti System ambaye hivi sasa anafanya vizuri katika tasnia hiyo ya muziki nchini Thailand.

Kwa mujibu wa swahiba wake wa karibu ambaye ni mwanamuziki...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND

Baadhi ya viongozi wa dini kutoka katika Mikoa ya Lindi na Mtwara wakiwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand. Viongozi hao walifanya ziara nchini humo kwa ajili ya kujifunza na kupata uzoefu wa uendelezaji wa sekta ya gesi. Viongozi wa dini wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand. Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Abdallah Hamis Ulega akizungumza na waandishi wa...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO YA VITO JIJINI BANGKOK, NCHINI THAILAND

Wafanyabiashara wa madini kutoka Tanzania wakiendelea kuonesha madini ya vito katika Banda la Tanzania jijini Bangkok, Thailand. Nchi ya Thailand hufanya maonesho hayo kila mwaka ambapo huwaingizia fedha nyingi za kigeni zinazotokana na mauzo ya vito pamoja na utalii unaotokana na wageni wanaokuja kushiriki kwenye maonesho hayo kutoka nchi mbalimbali duniani. Baadhi ya Madini ya Vito kutoka Tanzania yakiwa katika banda la Tanzania kwa ajili ya mauzo kwa Wafanyabiashara wa nchi mbalimbali...

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand

Na Teresia Mhagama

Jumla ya Viongozi 19 wa Dini kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara wanatarajia kwenda nchini Thailand kuanzia tarehe 26 Aprili mwaka huu kwa ajili ya ziara ya mafunzo katika masuala ya gesi asilia na mafuta.
Ziara hiyo inatokana na juhudi za serikali katika kuhakisha elimu kuhusu masuala ya gesi asilia na mafuta inatolewa kwa wananchi wa kada mbalimbali ili waweze kufahamu mchakato mzima wa upatikanaji wa gesi asilia na mafuta, faida zake katika nyanja za ...

 

9 years ago

TheCitizen

‘Best system’ of regulating off-grid power developing

The future alternative to the traditional electric utility may emerge first in Tanzania. The East African nation has developed the best system of regulating and spurring off-grid power systems anywhere in the world, according to the annual Climatescope study into energy investment trends in developing nations by Bloomberg New Energy Finance.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yaliyoleta nyota wa kigeni nchini

Tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya soka Tanzania mwaka 1965, katika miaka iliyokuwa na mafanikio, ni mwanzoni na mwishoni mwa miaka ya 1980.

 

10 years ago

Michuzi

MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA

 Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28. Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi...

 

5 years ago

SciTechDaily

Astrophysicists Reveal a New Model of Our Solar System’s Protective Bubble, the Heliosphere

Astrophysicists Reveal a New Model of Our Solar System’s Protective Bubble, the Heliosphere  SciTechDailyThis Weird Shape Might Actually Be What Our Sun's Magnetic Bubble Looks Like  ScienceAlertView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mwananchi

Emmanuel Jal, nyota aliyepigana vita nchini Sudan utotoni

Ingawa kuna hadithi nyingi za kusisimua, hasa katika historia za nyota walio katika fani mbalimbali ulimwenguni.

 

10 years ago

Michuzi

MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA MACHI 28

 Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28. Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani