Kingwendu: Ningepewa Hiki Ningekuwa Level Moja na Diamond na Alikiba
Mchekeshaji maarufu nchini, Kingwendu amesema kama nyimbo zake zingepata promotion ya kutosha, angekuwa anashindana na wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa, Diamond na Ali Kiba.
Kingwendu ambaye alikuwa katika show za mwisho wa mwaka nchini Ujerumani hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo inamfanya aanze kutafuta maneja ili aweze kusimamia kazi za muziki wake.
“Mwaka jana nimetoa nyimbo tatu lakini zote hazikupata airtime ndio maana hazikufanya vizuri lakini kwa sababu ni nyimbo nzuri...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Jan
Kingwendu: Ningepewa airtime ningekuwa level moja na Diamond na Alikiba
![Kingwendu.._full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/12/Kingwendu.._full-200x200.jpg)
Mchekeshaji maarufu nchini, Kingwendu amesema kama nyimbo zake zingepata promotion ya kutosha, angekuwa anashindana na wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa, Diamond na Ali Kiba.
Kingwendu ambaye alikuwa katika show za mwisho wa mwaka nchini Ujerumani hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo inamfanya aanze kutafuta maneja ili aweze kusimamia kazi za muziki wake.
“Mwaka jana nimetoa nyimbo tatu lakini zote hazikupata airtime ndio maana hazikufanya vizuri lakini kwa sababu ni nyimbo nzuri...
9 years ago
Bongo528 Oct
Hiki ndicho alichokisema Kingwendu baada ya kukosa ubunge
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbInsB5bPTeKPqhD-lx8I5XDcvisLnWMVXZvcVDCVp-BSEuKBcxmGMSG0*t1E7JFVoGudwJkzBZ-5MPR4cuTi2f/HAWAGHASIA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU
9 years ago
Bongo506 Oct
Zari hawezi kuhamia Tanzania moja kwa moja — Diamond
10 years ago
CloudsFM04 Aug
Alikiba kutumbuiza jukwaa moja na Mafikizolo, Black motion, Beatenberg na Sauti soul tarehe 15 August
Kingkiba au Alikiba ataperfom jukwaa moja kwa mara ya kwanza na kundi la wasanii wakubwa kutoka Afrika kusini Mafikizolo, Black Motion, Beatenberg, Sol M na Kenya number one music group Sauti soul, Jumamosi ya wiki ijayo tarehe 15 Agust kwenye Tamasha la ‘Party at the Park’ litakalofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive.
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
Alikiba ,Mafikizolo, Black motion, Sauti soul ndani ya jukwaa moja leo katika Party at the Park!
Mpango mzima wa shoo ya leo hii ndio huu hapa..
Na Andrew Chale wa modewjiblog
(Kinondoni Dar es Salaam). Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake siku ya leo lipo katika pilikapilika za burudani za hapa na pale huku kubwa ni pamoja na shoo moja kabambe ya ‘PARTY AT HE PARK’ itakayofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive itakayowakutanisha kwa mara ya kwanza Mfalme wa muziki Bongo
Ali Kiba au KingKiba ambaye ataangusha shoo kali kwa mara ya kwanza jukwaa moja na kundi la wasanii wakubwa...