Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa upinzani Malawi Lazarus Chakwera ashinda uchaguzi

Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi huo kwa karibu asilimia 60 kuwa rais wa Malawi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Lazarus Chakwera sworn in as Malawi president after historic win

The opposition candidate won nearly 60% of the vote to defeat the incumbent.

 

5 years ago

BBC

Malawi opposition leader Lazarus Chakwera wins historic poll rerun

Lazarus Chakwera wins nearly 60% of the vote to defeat the incumbent and become Malawi's president.

 

5 years ago

BBCSwahili

Lazarus Chakwera: Kutoka kuongoza makanisa ya Walokole mpaka kushinda Urais wa Malawi

Chakwera anakuwa kiongozi wa kwanza wa upinzania Afrika kushinda uchaguzi baada ya kupinga matokeo ya awali ya uchaguzi mahakamani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa urais Malawi: Chombo cha habari cha serikali kinasema upinzani unaongoza

Matokeo rasmi hayajatangazwa lakini chombo cha habari cha serikali kimetangaza kuwa Lazarus Chakwera anaelekea kushinda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani apinga kufuatiliwa

Kiongozi wa upinzani, Urusi amekatilia mbali kifaa cha elektroniki cha kufuatilia nyendo zake ikiwa ni kupinga adhabu aliyopewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Urusi

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Urusi Boris Nemtsov ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani amekamatwa Niger

Kiongozi wa upinzani wa Niger amekamatwa mwaka mmoja baada ya kutoroka akiwa anakabiliwa na mashtaka ya biashara ya ulanguzi wa watoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Burundi

Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi

Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani