Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIPANDE KIDOGO KILICHOBAKIA KATIKA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA KUKAMILIKA MWEZI HUU

Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge wapili kutoka kulia akipewa maelezo kutoka kwa Mhandisi Mkazi Agarton Mwenda kuhusu kazi zinazoendelea kwenye barabara hiyo ya Ndundu-Somanga inayotarajiwa kukamilika mwezi huu wa 11. Sehemu ya barabara ya Ndundu-Somanga ikiwa imeanza kuwekwa lami kwenye kipande hicho kilichobakia. Baadhi ya sehemu ya barabara hiyo ikiwa imeweka lami kama inavyoonekana. Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge akifanya kazi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BARABARA YA NDUNDU SOMANGA KUKAMILIKA MWEZI HUU WA NOVEMBA

Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge akifanya kazi ya kuchanganya cementi na udongo katika baadhi ya maeneo katika kipande hicho cha barabara.Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge akiendelea na ukaguzi wa kazi za uchanganyaji wa cement na udongo katika kipande hicho kidogo cha barabara.Kazi za ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi kubwa. Picha zote kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Ujenzi.Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi...

 

11 years ago

Habarileo

Barabara ya Ndundu-Somanga kukamilika miezi 2

BARABARA ya Ndundu –Somanga iliyojengwa kwa muda mrefu, inatarajiwa kukamilika baada ya miezi miwili ijayo; Bunge limeelezwa.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Magufuli atangaza kukamilika kwa barabara ya Ndundu-Somanga(Km 60)

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kukamilika kwa barabara ya Ndundu- Somanga (Km 60) na kuwataka wakazi wa mikoa ya kusini kuitumia vizuri barabara hiyo kuibua fursa za kiuchumi na hivyo kujiletea maendeleo. Dkt. Magufuli alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam mara baada ya kukamilika kwa ukaguzi wa barabara hiyo uliofanywa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe. “ Wito wangu kwenu wakazi wa mikoa ya kusini ni kuitunza barabara hii ili idumu kwa muda...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MAGUFULI ATANGAZA KUKAMILIKA KWA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA (KM 60)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akiteremka kukagua tuta la barabara ya Ndundu –Somanga (KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.
Sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga (KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.…

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete katika sherehe za ufunguzi wa Barabara ya Ndundu-Somanga

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalamiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe ya ufunguzi wa Barabara ya Ndundu Somanga(picha na Freddy Maro).Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalamiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe ya ufunguzi wa Barabara ya Ndundu SomangaRais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Mwakikushi wa Mfuko wa Kuwaiti Bwana Abdurahman Al Hashim, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe.Jassem Ibrahim Al Najem wakikata utepe...

 

11 years ago

Habarileo

Kipande cha Ndundu-Somanga kufanyiwa kazi kukwamua raia

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema Serikali inafanya jitihada za kutengeneza maeneo ya barabara ya kwenda mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara, ambayo yameharibika na kusababisha abiria kukwama njiani.

 

5 years ago

Michuzi

Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.

Na Amiri kilagalila,Njombe Naibu waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi  Elias kwandikwa amemuagiza mkandarasi anayejenga barabara ya Njombe kuelekea wilayani Makete kipande cha Njombe-Moronga kuhakikisha anakamilisha ujenzi  wa kipande hicho na kuhakikisha imekamilika ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu. Agizo hilo amelitoa wakati akikagua ujenzi wa barabara hiyo katika ziara yake ya kikazi ya siku moja ambapo amesema anataka kuona ujenzi huo unakamilika ili wananchi waendelee...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK afungua barabara ya Ndundu-Somanga yenye urefu wa Kilometa 60 mkoani Lindi

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Ndundu – Somanga yenye urefu wa kilomita 60, hafla hiyo imefanyika jana Agosti 7 2015 mkoani Lindi.Wengine pichani ni Balozi wa Kuwait Jassem Ibrahim Al Najem,Mwakilishi wa Mfuko wa Kuwait, Abrahman Al- Hashim,Mkuu wa Mkoa wa Pwan, Eng. Evarist Ndikilo, wengine kushoto ni Waziri wa ujenzi Mhe.John Pombe Magufuli, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na Mkuu wa mkoa wa Lindi...

 

10 years ago

Michuzi

JK AFUNGUA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA YENYE UREFU WA KILOMETA 60 MKOANI LINDI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Ndundu - Somanga yenye urefu wa kilomita 60, hafla hiyo imefanyika jana Agosti 7 2015 mkoani Lindi.Wengine pichani ni Balozi wa Kuwait Jassem Ibrahim Al Najem,Mwakilishi wa Mfuko wa Kuwait, Abrahman Al- Hashim,Mkuu wa Mkoa wa Pwan, Eng. Evarist Ndikilo, wengine kushoto ni Waziri wa ujenzi Mhe.John Pombe Magufuli, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na Mkuu wa mkoa wa Lindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani