KIPANDE KIDOGO KILICHOBAKIA KATIKA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA KUKAMILIKA MWEZI HUU
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge wapili kutoka kulia akipewa maelezo kutoka kwa Mhandisi Mkazi Agarton Mwenda kuhusu kazi zinazoendelea kwenye barabara hiyo ya Ndundu-Somanga inayotarajiwa kukamilika mwezi huu wa 11.
Sehemu ya barabara ya Ndundu-Somanga ikiwa imeanza kuwekwa lami kwenye kipande hicho kilichobakia.
Baadhi ya sehemu ya barabara hiyo ikiwa imeweka lami kama inavyoonekana.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge akifanya kazi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBARABARA YA NDUNDU SOMANGA KUKAMILIKA MWEZI HUU WA NOVEMBA
11 years ago
Habarileo22 May
Barabara ya Ndundu-Somanga kukamilika miezi 2
BARABARA ya Ndundu –Somanga iliyojengwa kwa muda mrefu, inatarajiwa kukamilika baada ya miezi miwili ijayo; Bunge limeelezwa.
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli atangaza kukamilika kwa barabara ya Ndundu-Somanga(Km 60)
10 years ago
GPLWAZIRI MAGUFULI ATANGAZA KUKAMILIKA KWA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA (KM 60)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete katika sherehe za ufunguzi wa Barabara ya Ndundu-Somanga
11 years ago
Habarileo08 May
Kipande cha Ndundu-Somanga kufanyiwa kazi kukwamua raia
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema Serikali inafanya jitihada za kutengeneza maeneo ya barabara ya kwenda mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara, ambayo yameharibika na kusababisha abiria kukwama njiani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MFCxR6Ugj9U/XvBI8qGsw8I/AAAAAAALu24/JAChvLEWIEEzvDXlsG6ASq8y2TFTjom_ACLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-21-08h39m04s769.png)
Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
JK afungua barabara ya Ndundu-Somanga yenye urefu wa Kilometa 60 mkoani Lindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-YsMIms-clS4/VcV1kOyYSFI/AAAAAAAHvTk/jvhiacpYsuA/s640/_MG_3181.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YsMIms-clS4/VcV1kOyYSFI/AAAAAAAHvTk/jvhiacpYsuA/s72-c/_MG_3181.jpg)
JK AFUNGUA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA YENYE UREFU WA KILOMETA 60 MKOANI LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YsMIms-clS4/VcV1kOyYSFI/AAAAAAAHvTk/jvhiacpYsuA/s640/_MG_3181.jpg)