Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipenga CCM kupulizwa Juni

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, David Mathayo wakishiriki ujenzi wa madarasa ya Shule ya Sekondari ya Kata ya Njoro wakati wa ziara yake jimboni humo juzi. (Picha na Adam Mzee).FILIMBI kwa ajili ya kuanza kampeni za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi za udiwani, ubunge na urais, itapulizwa rasmi Juni mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga

mosenaJonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kipenga cha kampeni kimepulizwa

Hatimaye kipenya cha kampeni za uchaguzi mkuu kimepulizwa leo wakati wagombea, vyama na mawakala wao watakapotumia siku zisizopungua 63 kujinadi na kunadi vyama vyao, huku wasomi wakitaka wagombea wajikite katika kueleza ni kwa jinsi gani watarekebisha uchumi, elimu, afya, utawala bora, mapambano dhidi ya ufisadi na amani.

 

11 years ago

Mwananchi

Kipenga cha kumrithi Mgimwa chapulizwa

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega jana alichukua kwa mbwembwe fomu ya kuwania kiti hicho, huku msafara wenye magari na pikipiki ukizuiwa na polisi mkoani hapa kwa madai ya kutokuwa na ruhusa.

 

9 years ago

Mwananchi

Nkongo kushika kipenga mechi ya Simba, Yanga

Mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania, Israel Nkongo anatarajiwa kuchezesha pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

StarTV

Leo ni leo Kipenga cha kampeni kimepulizwa.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akitangaza kuanza kwa kampeni za vyama vya siasa vilivyosimamisha wagombea wa urais, ubunge na udiwani. Kushoto ni makamu mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid na mkurugenzi wa uchaguzi, Kailima Kombwey.   Picha na Anthony Siame   Hatimaye kipenga cha kampeni za uchaguzi mkuu kimepulizwa leo wakati wagombea, vyama na mawakala wao watakapotumia siku zisizopungua 63 kujinadi na kunadi vyama vyao, huku wasomi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani