Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindupindu chatua Busega

Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kutesa mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya kuingia kwa kasi wilayani Busega mkoani Simiyu na kusababisha watu wanane kulazwa hospitali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chatua gerezani

Mahabusu wawili wa Gereza la Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wamefariki dunia baada ya kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu

 

9 years ago

Mtanzania

Kipindupindu chatua Dar

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

UGONJWA wa kipindupindu umelipuka tena Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kulazwa katika hospitali mbalimbali.

Wagonjwa hao wamelazwa katika hospitali za Sinza  Palestina na Mwananyamala.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani, alisema wagonjwa waliothibitika kuwa na kipindupindu na kulazwa hospitalini hapo ni wawili.

Alisema wagonjwa hao ambao ni mwanamke na mwanaume wanatoka   Tandale na...

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chatua Singida, yumo aliyetokea Dar

Wakazi 11 wa Manispaa ya Singida, wamelazwa kwenye kambi ya Mandewa iliyotengwa kwa ajili ya wagonjwa wa kipindupindu, wakihofiwa kuugua ugonjwa huo.

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kimbunga cha Magufuli chatua Tazara

Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru amezitaka taasisi na mashirika ya umma nchini kuacha utegemezi kwa Serikali, badala yake kupunguza matumizi na wafanyakazi ili kuongeza mapato na ufanisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chombo cha India chatua Mars

Wanasayansi wa anga za juu nchini India wanasema kuwa chombo chao cha safari za anga za juu kwa sasa kinazunguka sayari ya Mars.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Busega walaani mwalimu kubakwa

JUMUIYA ya Maendeleo ya Wanabusega (Budeco), imelaani tukio la kubakwa mwalimu wa shule ya Busega mkoani Simiyu. Tukio hilo lililotokea Agosti 23 mwaka huu, ambako majambazi wakiwa na silaha walivamia...

 

9 years ago

TheCitizen

Authorities act to curb cholera in Busega

A number of Cholera cases in the district have increased from five to 15 after the disease broke in the district in November last year.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani