Kipindupindu chatua Busega
Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kutesa mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya kuingia kwa kasi wilayani Busega mkoani Simiyu na kusababisha watu wanane kulazwa hospitali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Kipindupindu chatua gerezani
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Kipindupindu chatua Dar
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
UGONJWA wa kipindupindu umelipuka tena Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kulazwa katika hospitali mbalimbali.
Wagonjwa hao wamelazwa katika hospitali za Sinza Palestina na Mwananyamala.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani, alisema wagonjwa waliothibitika kuwa na kipindupindu na kulazwa hospitalini hapo ni wawili.
Alisema wagonjwa hao ambao ni mwanamke na mwanaume wanatoka Tandale na...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chatua Singida, yumo aliyetokea Dar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Kimbunga cha Magufuli chatua Tazara
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Chombo cha India chatua Mars
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Busega walaani mwalimu kubakwa
JUMUIYA ya Maendeleo ya Wanabusega (Budeco), imelaani tukio la kubakwa mwalimu wa shule ya Busega mkoani Simiyu. Tukio hilo lililotokea Agosti 23 mwaka huu, ambako majambazi wakiwa na silaha walivamia...
9 years ago
TheCitizen04 Jan
Authorities act to curb cholera in Busega