Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindupindu chatua Dar

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

UGONJWA wa kipindupindu umelipuka tena Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kulazwa katika hospitali mbalimbali.

Wagonjwa hao wamelazwa katika hospitali za Sinza  Palestina na Mwananyamala.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani, alisema wagonjwa waliothibitika kuwa na kipindupindu na kulazwa hospitalini hapo ni wawili.

Alisema wagonjwa hao ambao ni mwanamke na mwanaume wanatoka   Tandale na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chatua Singida, yumo aliyetokea Dar

Wakazi 11 wa Manispaa ya Singida, wamelazwa kwenye kambi ya Mandewa iliyotengwa kwa ajili ya wagonjwa wa kipindupindu, wakihofiwa kuugua ugonjwa huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chatua gerezani

Mahabusu wawili wa Gereza la Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wamefariki dunia baada ya kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chatua Busega

Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kutesa mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya kuingia kwa kasi wilayani Busega mkoani Simiyu na kusababisha watu wanane kulazwa hospitali.

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kipindupindu chapungua DAR

05-kipindupindu

Moja ya kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu jijini Dar.

Na Jacquiline Mrisho- Maelezo

Idadi ya wagonjwa wa kipindupindu jijini Dar es salaam imepungua kufikia wagonjwa kumi na mbili (12) kwa mkoa mzima, huku wilaya ya Temeke ikiwa na wagonjwa saba,Kinondoni wagonjwa wanne na Ilala ikiwa na mgonjwa mmoja

Haya yamezungumzwa na Mratibu wa Magonjwa  ya kuambukiza wa Jiji la Dar es salaam  Bw. Alex Mkamba ofisini kwake jana akielezea jinsi gani mkoa umefanikisha kupambana na kipindupindu kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dar yakumbwa na kipindupindu

Ugonjwa wa kipindupindu umeingia Dar es Salaam na kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine 26 kulazwa katika hospitali za Mwananyamala na Sinza.

 

9 years ago

StarTV

Hali tete Kipindupindu Dar.

Serikali imesema bado hali ni tete ya kumaliza maambukizi ya ugonjwa wa kipindipindu mkoani Dar es salaam ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kumi.

Kutokana na hali hiyo, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick amevifungia visima 20 vya maji vilivyobainika kuwa na vimelea vya kipindupindu pamoja na kupiga marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Meck Sadiq amesema tangu kutokea kwa mlipuko wa kipindupindu, wamepokea wagonjwa 636 katika vituo vya...

 

9 years ago

Mtanzania

Kipindupindu chaota mizizi Dar

Pg 3 sept 18TUNU NASSOR NA HERIETH FAUSTINE, DAR ES SALAM

UGONJWA wa kipindupindu umeendelea kuota mizizi jijini Dar es Salaam, baada ya kuzidi kuenea na kufanya idadi ya watu waliougua hadi sasa kufikia 1,458.

Kati ya wagonjwa hao, waliopoteza maisha wamefika 18, huku wagonjwa wapya ambao wameripotiwa kati ya juzi na jana, wamefika 61.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, maofisa wa afya wa wilaya za Temeke, Kinondoni na Ilala, walisema wagonjwa wapya walioripotiwa kuanzia juzi saa 10...

 

9 years ago

Mtanzania

Kipindupindu chashika kasi Dar

Pg 3NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

MAAMBUKIZI ya ugonjwa wa kipindupindu yamezidi kushika kasi mkoani Dar es Salaam, baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka kutoka 34 hadi kufikia 43.

Ongezeko hilo limekuja ikiwa ni siku tano tangu kugundulika kwa ugonjwa huo, ambao tayari umesababisha vifo vya watu watatu.

Akizungumza na MTANZANIA, Dar es Salaam jana, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk. Azizi Msuya, alisema kutokana na ongezeko hilo, wamelazimika kutoa huduma kwa wagonjwa wote waliopo kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani