Kipindupindu chashika kasi Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MAAMBUKIZI ya ugonjwa wa kipindupindu yamezidi kushika kasi mkoani Dar es Salaam, baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka kutoka 34 hadi kufikia 43.
Ongezeko hilo limekuja ikiwa ni siku tano tangu kugundulika kwa ugonjwa huo, ambao tayari umesababisha vifo vya watu watatu.
Akizungumza na MTANZANIA, Dar es Salaam jana, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk. Azizi Msuya, alisema kutokana na ongezeko hilo, wamelazimika kutoa huduma kwa wagonjwa wote waliopo kwenye...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Kipindupindu chashika kasi Nyamagana, Magu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2CpKynqU5e0/Xp8f5mQg7wI/AAAAAAALnwE/Q-T3vgdkiBQL0VHZpC323f3RNvleVmNhwCLcBGAsYHQ/s72-c/ae731083-a6ed-43f6-b811-d37c3645c485.jpg)
KILIMO CHA UFUTA CHASHIKA KASI MIHAMBWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-2CpKynqU5e0/Xp8f5mQg7wI/AAAAAAALnwE/Q-T3vgdkiBQL0VHZpC323f3RNvleVmNhwCLcBGAsYHQ/s400/ae731083-a6ed-43f6-b811-d37c3645c485.jpg)
Wakulima wengi ndani ya Tarafa ya Mihambwe wamehamasika mwaka huu kulima zao la Ufuta kutoka kwenye utegemezi wa zao moja la biashara la Korosho.
Wakulima hao wakizungumza wakati wa ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu wameishukuru Serikali ya Rais Magufuli kwa kuwahamasisha, kuwapatia pembejeo kwa wakati na kuhakikisha upatikanaji wa masoko kwa wakati.
"Sisi Wakulima tunaishukuru Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli kwa...
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Kasi ya kipindupindu yazidi kuongezeka Dodoma
NA DEBORA SANJA,DODOMA
KASI ya ugonjwa wa kipindipindu katika Manispaa ya Dodoma inazidi kuongezeka huku kwa sasa kuna wastani wa wagonjwa wapya wanane kila siku.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mganga Mkuu wa Manispaa ya Dodoma, James Charles wakati akizungumza katika kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi kilichokuwa na lengo la kuweka mikakati ya kutokomeza ugonjwa huo.
Alisema hali hiyo ya wagonjwa wapya ikiendelea hivyo, Kambi Maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kutibu wagonjwa hao itaelemewa kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Kipindupindu chatua Dar
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
UGONJWA wa kipindupindu umelipuka tena Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kulazwa katika hospitali mbalimbali.
Wagonjwa hao wamelazwa katika hospitali za Sinza Palestina na Mwananyamala.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani, alisema wagonjwa waliothibitika kuwa na kipindupindu na kulazwa hospitalini hapo ni wawili.
Alisema wagonjwa hao ambao ni mwanamke na mwanaume wanatoka Tandale na...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Dar yakumbwa na kipindupindu
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Kipindupindu chapungua DAR
Moja ya kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu jijini Dar.
Na Jacquiline Mrisho- Maelezo
Idadi ya wagonjwa wa kipindupindu jijini Dar es salaam imepungua kufikia wagonjwa kumi na mbili (12) kwa mkoa mzima, huku wilaya ya Temeke ikiwa na wagonjwa saba,Kinondoni wagonjwa wanne na Ilala ikiwa na mgonjwa mmoja
Haya yamezungumzwa na Mratibu wa Magonjwa ya kuambukiza wa Jiji la Dar es salaam Bw. Alex Mkamba ofisini kwake jana akielezea jinsi gani mkoa umefanikisha kupambana na kipindupindu kwa...
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Kipindupindu chaua 36 Dar es Salaam
9 years ago
StarTV04 Sep
Hali tete Kipindupindu Dar.
Serikali imesema bado hali ni tete ya kumaliza maambukizi ya ugonjwa wa kipindipindu mkoani Dar es salaam ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kumi.
Kutokana na hali hiyo, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick amevifungia visima 20 vya maji vilivyobainika kuwa na vimelea vya kipindupindu pamoja na kupiga marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Meck Sadiq amesema tangu kutokea kwa mlipuko wa kipindupindu, wamepokea wagonjwa 636 katika vituo vya...