Kipindupindu chashika kasi Nyamagana, Magu
Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuzitesa Wilaya za Nyamagana na Magu mkoani hapa, baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka na kufikia 17, huku mtu mmoja akipoteza maisha wilayani Magu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Kipindupindu chashika kasi Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MAAMBUKIZI ya ugonjwa wa kipindupindu yamezidi kushika kasi mkoani Dar es Salaam, baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka kutoka 34 hadi kufikia 43.
Ongezeko hilo limekuja ikiwa ni siku tano tangu kugundulika kwa ugonjwa huo, ambao tayari umesababisha vifo vya watu watatu.
Akizungumza na MTANZANIA, Dar es Salaam jana, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk. Azizi Msuya, alisema kutokana na ongezeko hilo, wamelazimika kutoa huduma kwa wagonjwa wote waliopo kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2CpKynqU5e0/Xp8f5mQg7wI/AAAAAAALnwE/Q-T3vgdkiBQL0VHZpC323f3RNvleVmNhwCLcBGAsYHQ/s72-c/ae731083-a6ed-43f6-b811-d37c3645c485.jpg)
KILIMO CHA UFUTA CHASHIKA KASI MIHAMBWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-2CpKynqU5e0/Xp8f5mQg7wI/AAAAAAALnwE/Q-T3vgdkiBQL0VHZpC323f3RNvleVmNhwCLcBGAsYHQ/s400/ae731083-a6ed-43f6-b811-d37c3645c485.jpg)
Wakulima wengi ndani ya Tarafa ya Mihambwe wamehamasika mwaka huu kulima zao la Ufuta kutoka kwenye utegemezi wa zao moja la biashara la Korosho.
Wakulima hao wakizungumza wakati wa ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu wameishukuru Serikali ya Rais Magufuli kwa kuwahamasisha, kuwapatia pembejeo kwa wakati na kuhakikisha upatikanaji wa masoko kwa wakati.
"Sisi Wakulima tunaishukuru Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B2qE-spA_pM/VY2OxYWVibI/AAAAAAAC7jE/XHfRccH0AEk/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU NDANI YA JIMBO LA MAGU LEO,KESHO KURINDIMA JIMBO LA NYAMAGANA JIJINI MWANZA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B2qE-spA_pM/VY2OxYWVibI/AAAAAAAC7jE/XHfRccH0AEk/s640/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YMoLzEteqF0/VY2OyD40vKI/AAAAAAAC7jM/uhlUUZEty3Q/s640/17.jpg)
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Kasi ya kipindupindu yazidi kuongezeka Dodoma
NA DEBORA SANJA,DODOMA
KASI ya ugonjwa wa kipindipindu katika Manispaa ya Dodoma inazidi kuongezeka huku kwa sasa kuna wastani wa wagonjwa wapya wanane kila siku.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mganga Mkuu wa Manispaa ya Dodoma, James Charles wakati akizungumza katika kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi kilichokuwa na lengo la kuweka mikakati ya kutokomeza ugonjwa huo.
Alisema hali hiyo ya wagonjwa wapya ikiendelea hivyo, Kambi Maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kutibu wagonjwa hao itaelemewa kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
10 years ago
TheCitizen09 Dec
Ex-MP plots comeback for Nyamagana
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
DC Nyamagana awaonya walimu
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyamagana, Baraka Konisaga, amesema atawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa watakaobainika kuwafukuza shuleni wanafunzi wasiolipa ada na...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Halmashauri Magu yapigwa jeki
NA SARAH ONESMO, MWANZA
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, imepokea vifaa vipya vya afya na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Msaada huo umetolewa na Taasisi ya Grena Youth Production School (GYPS) ya Denmark na utaihusu Kata ya Nyanguge, ambako tayari vifaa hivyo vimekabidhiwa kwa uongozi.
Vifaa hivyo ni robota moja ya mashuka ya wagonjwa, nguo za madaktari na wauguzi, mashine ya utrasound, mashine moja ya EKG ya kupimia wagonjwa wa moyo na kompyuta 95.
Akizungumza na...