Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kitengo cha usuluhishi kimeleta ufanisi kazini’

Haroun Ali Suleiman SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema kuwepo kwa kitengo cha usuluhishi na uamuzi wa migogoro ya mambo ya kazi, kimesaidia kuleta ufanisi na kupiga hatua kubwa ya maendeleo sehemu za kazi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Airtel waeleza siri ya ufanisi kazini

IMEELEZWA kuwa ufanisi wa watumishi katika ngazi mbalimbali za kiutendaji unaweza ukaongezeka pindi wafanyakazi wanapokutana pamoja na kubadilishana mawazo na viongozi wao katika hali ya kirafiki.

 

10 years ago

Michuzi

RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani

MABALOZI wa Usalama Barabarani nchini Tanzania (Road Safety Ambasadors-RSA) wamekabidhi misaada kwenye Ofisi ya Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini (Traffic Control Center-TCC). 
 Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha

Mtaalam wa Kutoa Damu wa Kitengo cha Damu Salama, Kanda ya Mashariki, Daudi Mkawa akimtoa damu Mfanyakazi wa Airtel Tanzania, Amitin Mbamba wakati wa zoezi la kuchangia damu lililofanywa na wafanyakazi wa vitengo mbalimbali vya Airtel, jijini Dar es Salaam jana. Kitengo cha Damu Salama kina upungufu mkubwa wa damu ambapo kiasi cha ujazo wa unit 350,000 zinahitajika kwa ajili ya dharura za kitabibu kila mwaka.Wafanyakazi wa Airtel Tanzania (kutoka kushoto), Adam Suleiman na Frank Munale...

 

10 years ago

Michuzi

KITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Dkt Issa Haji Zidi akizungumza na vijana katika mjadala kuhusu uzazi wa mpango katika uislamu ulioandaliwa na Kitengo cha Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto kwenye ukubi wa Chuo cha Mafunzo Kilimani Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Mkufunzi kutoka Chuo cha Sayansi ya Afya ya Mbweni Asha Ali Khamis akionyesha moja ya dawa za kisasa za uzazi wa mpango katika mjadala huo. Mmoja wa washiriki wa mjadala kuhusu uzazi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania kuwa kituo cha usuluhishi

>Tanzania inatarajia kuzindua kituo cha kimataifa cha usuluhishi wa migogoro ya kibiashara kutokana na kukua kwa sekta ya uwekezaji ikiwamo mafuta na gesi nchini.

 

9 years ago

StarTV

Wawili wauawa kikao cha usuluhishi wivu wa mapenzi

WATU wawili, Said Abdallah (37) na Ally Mwishee (44), wameuawa kwa kupigwa risasi na kufa papo hapo katika uwanja wa mpira wa miguu wa shule ya Msingi Bonye, tarafa ya Bwakila, wilaya ya Morogoro jana.

Waliouawa walikuwa katika kikao cha kusuluhisha mgogoro wa mapenzi kati ya mume wa mke anayedai kufanya mapenzi na mtu mwingine chini ya Mwenyekiti wa Serikali ya Kitongoji cha Samata katika kijiji cha Bonye, Said Abdallah pamoja na watu wengine wawili.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,...

 

5 years ago

Michuzi

MASAUNI ATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO,AWATAKA KUONGEZA UFANISI KATIKA BIDHAA



 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiangalia kiatu kinachotengenezwa katika Kiwanda cha Gereza Karanga mkoani Kilimanjaro,mwishoni mwa wiki  wakati wa Ziara ya Ukaguzi wa shughuli zinazofanywa kiwandani hapo ambapo aliwataka uongozi wa kiwanda hicho kuongeza ufanisi katika uzalishaji wa bidhaa hizo za ngozi ili...

 

11 years ago

BBCSwahili

AU itaunda kitengo cha magonjwa

Mkuu wa Umoja wa Afrika asema wameamua kuunda kitengo cha kudhibiti magonjwa kama Ebola

 

11 years ago

Mwananchi

JK azindua kitengo cha moyo

>Rais Jakaya Kikwete jana alizindua kitengo cha Tiba ya Moyo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)  na kuutaka uongozi kuhakikisha kinakuwa taasisi inayojitegemea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani