Kizaazaa bungeni nchini Kenya
Kulikuwa na kizaazaa kwenye bunge la Kenya siku ya Alhamisi baada ya wabunge wa upinzani kuvuruga kikao maalum kilichoitishwa kujadili mswada mpya wenye utata kuhusu usalama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Dec
Purukushani bungeni nchini Kenya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/18/141218084649_kenya_bunge_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Wabunge wa Kenya wametofautiana vikali bungeni na kuvuana mashati huku wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya.
Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili mswada tatanishi kuhusu usalama wa nchi. Kikao cha leo kilikuwa kikao maalum ambacho kilipaswa kupitisha mswada huo ambao baadaye utaidhinishwa na Rais kuwa sheria.
Wabunge wa upinzani...
10 years ago
GPLNGUMI ZAPIGWA BUNGENI NCHINI KENYA
Seneta Johnston Muthama aliyejeruhiwa mguuni na kuchaniwa suruali yake wakati wa vurugu bungeni leo. WABUNGE nchini Kenya leo wametofautiana bungeni na kuamua kutupiana makonde huku wengine wakichaniana nguo kufuatia mjadala kuhusu muswada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa Wakenya. Bunge nchini Kenya. Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 kufuatia mtafaruku… ...
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Uda yazua kizaazaa bungeni
Uuzwaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) jana uliibua utata juu ya uhuru wa mihimili mitatu ya nchi baada ya wabunge kutaka kujadili suala hilo, huku Mwanasheria Mkuu wa Serikali akipinga.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Majibu ya mapato ya Tanzanite yazua kizaazaa bungeni
Bunge limeagiza kuwa swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Kidawa Hamid Saleh kuhusu kiasi cha mapato yaliyotokana na mauzo ya Tanzanite katika kipindi cha mwaka 2011 hadi 2014, lijibiwe tena na Serikali.
11 years ago
BBCSwahili14 May
Marufuku ya Miraa UK yazua kizaazaa Kenya
Wabunge kutoka eneo linalokuza mmea wa Khat au Miraa la Meru mashariki ya Kenya wametishia kuwasilisha mswada bungeni kulazimisha serikali kuwafukuza wakulima waingereza wanaoishi katika eneo hilo.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Temig0z8Mco/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mfumo dume wadhihirika bungeni Kenya
Wabunge wanaume wamependekeza kuwa sio lazima mume kumuomba ruhusa mke wa kwanza anapotaka kuoa mke wa pili.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Naibu spika amwagiwa maji bungeni Kenya
Kikao cha adhuhuri cha wabunge nchini Kenya,kikiendelea kuzua hisia kali huku wabunge wakiendelea kuvurugana humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania