Purukushani bungeni nchini Kenya
wabunge wakiwa katika vikao bungeni
Wabunge wa Kenya wametofautiana vikali bungeni na kuvuana mashati huku wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya.
Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili mswada tatanishi kuhusu usalama wa nchi. Kikao cha leo kilikuwa kikao maalum ambacho kilipaswa kupitisha mswada huo ambao baadaye utaidhinishwa na Rais kuwa sheria.
Wabunge wa upinzani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kizaazaa bungeni nchini Kenya
10 years ago
GPLNGUMI ZAPIGWA BUNGENI NCHINI KENYA
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Temig0z8Mco/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mfumo dume wadhihirika bungeni Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Naibu spika amwagiwa maji bungeni Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya