Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Kibadeni arudishwa Simba

Rais wa Simba, Evans Aveva amemrudisha kundini kocha wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni kwa kumteua kuwa makamu wa mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba

ZIKIWA zimesalia siku nne  kufikia mpambano  wa  nani mtani jembe kati ya watani wa jadi  Simba na Yanga,  Kocha wa zamani wa kikosi cha Wanamsimbazi Abdallah Kibadeni, amemshauri  kocha mkuu  wa timu ya Simba Patrick Phiri kuimarisha safu ya ushambuliaji na ulinzi.
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini  wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni kocha Kili Stars

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.

 

10 years ago

GPL

Kisiga arudishwa Simba, afukuzwa mazoezini

Kiungo wa Simba, Shaban Kisiga. Said Ally na Ibrahim Mussa
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umeamua kumrudisha kiungo wake, Shaban Kisiga katika kikosi cha timu hiyo baada ya kumsimamisha kwa muda, kisa kikiwa ni utovu wa nidhamu na kucheza chini ya kiwango katika michezo iliyopita ya ligi kuu. Kiungo huyo mkongwe ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar, alirejea katika kikosi cha timu hiyo jana (Jumanne) ambacho kilikuwa...

 

9 years ago

Michuzi

KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ akisaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Kibadeni aibua mpya kutolewa Kili Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibaden amedai Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) lilichangia timu yake kutolewa katika michuano ya Chalenji.

 

9 years ago

Bongo5

Abdallah ‘King’ Kibadeni ateuliwa kuwa kocha wa Kilimanjaro Stars

Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ atasaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.

Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file

Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.

Nchi hizo zinazoshiriki michuano hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LOGARUSIC: Kocha mwenye kibarua cha kutafuna mfupa uliowashinda Kibadeni, Julio

TIMU ya Simba yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, kwa sasa iko chini ya Kocha mpya Zdravco Logarusic, raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa miezi...

 

11 years ago

GPL

Kibadeni azitangazia vita Simba, Yanga

Kocha Mkuu wa Ashanti United, Abdallah Kibadeni. Na Hans Mloli
KOCHA Mkuu wa Ashanti United, Abdallah Kibadeni ameziambia Simba na Yanga zisitegemee kabisa ushindi kwenye mechi watakazokutana katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara badala yake wajipange kwa vita kali. Kibadeni amefunguka kuwa wamejipanga kwa mengi kwa ajili ya mzunguko wa pili ikiwemo kuifunga kila timu watakayokutana nayo. “Tunachotaka sisi ni ushindi...

 

9 years ago

Mtanzania

Kibadeni: Simba itajuta kwa Tambwe

kibadeniNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA mkongwe nchini na Mshauri wa Ufundi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Abdallah Kibadeni ‘King’, amesema kuwa Simba itajutia sana kitendo cha kumuacha mshambuliaji, Amissi Tambwe na kusajiliwa na Yanga, akidai ni mmoja wa washambuliaji bora kwa sasa katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL).

Kibadeni ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache mara baada ya Tambwe kung’ara kwenye mechi ya watani wa jadi, kwa kuifunga timu yake hiyo ya zamani kwenye ushindi wa Yanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani