Kocha Kibadeni arudishwa Simba
Rais wa Simba, Evans Aveva amemrudisha kundini kocha wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni kwa kumteua kuwa makamu wa mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya klabu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...
9 years ago
Habarileo10 Nov
Kibadeni kocha Kili Stars
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8fil5gmLgTZdP5UMqIoHolK1bDU65GjVxGWsv5nNwpT0Ajt4G*gGxElmG3yuQB8zFUtlKFu4mGowBzzgv-DV4ijPy4xbPnDn/kisiga.jpg)
Kisiga arudishwa Simba, afukuzwa mazoezini
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s72-c/kibadeniii.jpg)
KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s400/kibadeniii.jpg)
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Kocha Kibadeni aibua mpya kutolewa Kili Stars
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibaden amedai Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) lilichangia timu yake kutolewa katika michuano ya Chalenji.
9 years ago
Bongo511 Nov
Abdallah ‘King’ Kibadeni ateuliwa kuwa kocha wa Kilimanjaro Stars
![Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/pic-kili-stars-300x194.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ atasaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi hizo zinazoshiriki michuano hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
LOGARUSIC: Kocha mwenye kibarua cha kutafuna mfupa uliowashinda Kibadeni, Julio
TIMU ya Simba yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, kwa sasa iko chini ya Kocha mpya Zdravco Logarusic, raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa miezi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7q0MBC44VmYCkOcR1*OPHXTRvDTmtiwLxFG8n7oLUG9-ciT74PW*eDHOFvoFYBrJQW6HvIeS974Y80sGmAfpqlc/kibadeni.jpg?width=650)
Kibadeni azitangazia vita Simba, Yanga
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Kibadeni: Simba itajuta kwa Tambwe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA mkongwe nchini na Mshauri wa Ufundi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Abdallah Kibadeni ‘King’, amesema kuwa Simba itajutia sana kitendo cha kumuacha mshambuliaji, Amissi Tambwe na kusajiliwa na Yanga, akidai ni mmoja wa washambuliaji bora kwa sasa katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL).
Kibadeni ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache mara baada ya Tambwe kung’ara kwenye mechi ya watani wa jadi, kwa kuifunga timu yake hiyo ya zamani kwenye ushindi wa Yanga...