Kibadeni: Simba itajuta kwa Tambwe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA mkongwe nchini na Mshauri wa Ufundi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Abdallah Kibadeni ‘King’, amesema kuwa Simba itajutia sana kitendo cha kumuacha mshambuliaji, Amissi Tambwe na kusajiliwa na Yanga, akidai ni mmoja wa washambuliaji bora kwa sasa katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL).
Kibadeni ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache mara baada ya Tambwe kung’ara kwenye mechi ya watani wa jadi, kwa kuifunga timu yake hiyo ya zamani kwenye ushindi wa Yanga...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K4UzZoI6JDw494yvuqLp5ixxJ9DkJA3smxSbPwh0o00vTQMo2sYrU9V-daBd6*Mi3HfdbuFFIKxoztsOszPTJjMQ00J1QwOf/1hjhtr.gif?width=650)
Ndugu wa Tambwe asaini Simba kwa 21m
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Kocha Kibadeni arudishwa Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7q0MBC44VmYCkOcR1*OPHXTRvDTmtiwLxFG8n7oLUG9-ciT74PW*eDHOFvoFYBrJQW6HvIeS974Y80sGmAfpqlc/kibadeni.jpg?width=650)
Kibadeni azitangazia vita Simba, Yanga
10 years ago
MichuziKibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9Kd7fDSblO3D0CTAbrZsSQGVAbYlm*qNOY6ovZF7NiCbDUU2FUm4YGvKjeswh3f-5Ftzn8Pqq-Xftdky5CvmsSHs/tambwe.jpg?width=650)
TAMBWE BYEBYE SIMBA SC
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Tambwe avuna mamilioni Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CENL*fVUEuR0J78GIdHOUvESPFtq3dZ8-ecKb3SYSNO18UBYzfxXMk2AW7ZV1D-080ubDjk-DptPehoQ0h*Uha/yamtosa.jpg)
Simba yamtosa Tambwe, kisa...
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Simba yamleta nduguye Tambwe
11 years ago
TheCitizen24 Apr
Tambwe signals Simba SC exit