Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Liewig nusura azichape ‘kavukavu’ na shabiki uwanjani

Kocha wa Stand United, Patrick Liewig ameonyesha hasira yake hadharani na kutaka kuchapana makonde na shabiki baada ya mchezo wao dhidi ya Mwadui kumalizika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha Liewig apata kibarua Azam

Kocha wa zamani wa Simba, Patrick Liewig amepewa kazi ya kukinoa kikosi cha vijana cha Azam akichukua nafasi ya kocha Vivek Nagul aliyebwaga manyanga wiki iliyopita.

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aonesha mapenzi kwa shabiki aliyevamia uwanjani na kumkumbatia

Mchezaji wa klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa kwenye mechi ya ligi ya mabingwa wa Ulaya dhidi ya PSG iliyochezwa jijini Paris, Ufaransa ameonesha mapenzi ya juu kwa shabiki aliyevamia uwanjani. Shabiki huyo alivamia uwanjani wakati Madrid ikipambana na PSG na alipomfikia Ronaldo, alimpokea na kumkumbatia. Hata wakati walinzi wa uwanjani wanaingia ili kumtoa, […]

 

10 years ago

Mwananchi

Liewig aibukia Stand United

>‘Ukisema cha nini, wenzio wanasema watakipata lini?’ Hiyo ndiyo kauli sahihi baada ya Stand United kusaini mkataba wa miaka mwili na kocha Patrick Liewig aliyetupiwa virago na Simba.

 

9 years ago

Mwananchi

Liewig, viongozi Stand hawaivi

Wakati uongozi wa Stand United ya Shinyanga ukionekana kuanza kumchoka kocha Patrick Liewing kutokana na msimamo wake,   yeye amebainisha kutotetereka na ataendelea kufanya kazi yake kwa weledi. Liewig ameingia kwenye mgogoro na wasaidizi wake huku mwenyekiti wa klabu hiyo, Amani Vincent akimzungumzia kuwa kocha asiyeshaurika, mkali na anayefanya kazi pasipo kuwaamini wasaidizi wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Liewig ajitetea Stand United kuchemsha

Wakati uongozi wa Stand United ukiwakingia kifua mashabiki wa timu hiyo kwa kumfanyia vurugu kocha, Patrick Liewig mwenyewe amesema uwezo wake hauwezi kupimwa kwa mechi mbili.

 

9 years ago

Mwananchi

Liewig akomalia nyota Stand United

Kocha mkuu wa Stand United, Patrick Liewig amesema ataendelea kufanya kazi zake kwa weledi , hakuna mchezaji mkubwa kuliko klabu.

 

9 years ago

TheCitizen

Liewig blames finishing for Stand’s poor show

Stand United head coach Patrick Liewig has singled out profligacy in front of goal as the major factor behind his side’s poor performance in the Mainland Premier League.

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Shabiki wangu usijinyonge, nitajirekebisha

Kuna hayawani mmoja alikwenda kuharibu ukweni bila kuelewa. Kakutana na Baba mkwe, akaanza kumsifia mshenga wake kwa jinsi alivyofanikisha ndoa yake. Alianzia pale alivyompa mshenga rupia za kumlainisha mtoto wa watu, kisha rupia za kuondolea udhia kwa wakwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani