Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha mbaguzi ajikuta matatani

Mkufunzi wa timu ya Rostov, Igor Gamula amesimamishwa kazi kwa kipindi cha wiki tano baada ya kupatikana na hatia ya kutoa maoni ya kibaguzi, Shirikisho la soka nchini Urusi limesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi matatani Mbeya

Baadhi ya wadau na wapenzi wa Mbeya City wametoa ya mioyoni mwao wakisema falsafa na kiwango cha ufundishaji cha kocha Juma Mwambusi kimefikia mwisho na kusababisha timu hiyo kusuasua na kujikongoja kwenye Ligi Kuu msimu huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mbaguzi achunguzwa Australia

Polisi nchini Australia wanamchunguza mwanamke anayedaiwa kuwatusi abiria wenzake matusi ya kibaguzi mjini Sydney.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius ajikuta pabaya klabuni

Mwanariadha Oscar Pistorius, amedaiwa kuhusika katika malumbano ndani ya klabu moja nyakati za usiku nchini Afrika Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajikuta na mdudu mnyonyaji puani

Mdudu huyo alikuwa na urefu wa nchi 3. Mwanadada huyo aligundua uwepo wa mdudu huyo katika pua lake baada ya kurejea kutoka katika safari yake ya bara Asia.

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Mwaka matatani

Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ametoa siku saba kwa Baraza la Tiba Asilia kuchunguza huduma zinazotolewa kwenye kliniki ya Foreplan Herbal ya tiba mbadala inayomilikiwa na Dk Juma Mwaka.     

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS matatani

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia kwenye kashfa ya kuvikingia kifua viwanda vinavyozalisha na kusambaza bidhaa zisizokidhi viwango, jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha ya wananchi wengi kutokana na baadhi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zuma matatani

Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajia kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge 15 matatani

>Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewaanika wabunge 15, waliobainika kuchukua posho za safari bila kusafiri huku wengine wakikatisha safari zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani