Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha: Ronaldo atarudi Old Trafford.

Aliyekuwa msaidizi wa kocha wa Manchester united Mike Phelan anaamini kuwa Cristiano Ronaldo atarudi katika kilabu ya Old Trafford

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal kumrudisha Ronaldo Old Trafford

Kocha wa Manchester United imethibitishwa anajaribu kumrejesha mshambuliaji matata wa Real Madrid Cristiano Ronaldo Old Trafford .

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha:Ronaldo kung'ara dhidi ya Schalke

Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti anaamini mchezaji nyota Christiano Ronaldo ataimarika punde tu atakapopata bao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Laszlo Boloni: Cristiano Ronaldo ni hatari juu na chini

Nyota Cristiano Ronaldo alianza kucheza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu akiwa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno baada ya kupewa nafasi na kocha Laszlo Boloni aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kama ulitamani kumuona Ronaldo akiwa kocha, jibu lake lipo hapa kuhusu hilo

cristiano-ronaldo_7643b64nsbft1qzklr9o12n0l_0

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Natambua wadau wengi wa michezo wamekuwa wakitamani kumuona siku moja mchezaji bora wa dunia mara tatu, Cristiano Ronaldo (pichani) akiwa kocha wa klabu yoyote, jibu lipo hapa.

Akizungumza na mtandao wa michezo, El Mundo, Ronaldo alisema kuwa hana mpango wa kuja kuwa kocha na hivyo kumaliza maswali ambayo wadau mbalimbali wa michezo wamekuwa wakijiuliza.

Ronaldo alisema anataka kustaafu kucheza soka ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo lakini hana mpango wa kuwa kocha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini: Aguero atarudi kutamba

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini ameeleza matumaini yake kwamba Sergio Aguero ataanza kufunga tena mabao kwa wingi.

 

10 years ago

GPL

HUYU ATARUDI/ HATARUDI BUNGENI?

SEGEREA, DAR ES SALAAM MAKONGORO MAHANGA Segerea ni moja kati ya majimbo nane ya uchaguzi jijini Dar es Salaam. Katika uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Segerea ilikuwa ndani ya Jimbo la Ukonga ambapo Dk. Makongoro Mahanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), alikuwa mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2000 hadi 2010 lilipogawanywa na kuwa majimbo mawili ya Ukonga na Segerea. Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Dk. Mahanga alihamia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Francois Bozize asema atarudi CAR

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya kati Francois Bozize ambaye kwa sasa yuko mafichoni amesema kwamba huenda akarudi nchini humo ili kuwania urais mwezi Octoba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani