Francois Bozize asema atarudi CAR
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya kati Francois Bozize ambaye kwa sasa yuko mafichoni amesema kwamba huenda akarudi nchini humo ili kuwania urais mwezi Octoba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 May
Francois Bozize kuwekewa vikwazo
Wajumbe katika umoja wa mataifa wanasema kuwa wamekubaliana kumuwekea vikwazo aliyekuwa rais wa jamhuri ya afrika ya kati.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Bozize azuiwa kuwania urais CAR
Mahakama ya kikatiba nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imemzuia Rais wa zamani François Bozizé kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao.
9 years ago
Bongo528 Oct
Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
Shemeji wa Kanye West, Khloe Kardashian amekuwa bega kwa bega na mumewe Lamar Odom toka alipolazwa hospitali mara ya kwanza baada ya kukutwa hajitambui kutokana na kuzidisha dawa za kulevya huko Las Vegas. Hali ya Lamar ilimfanya Khloe kuamua kuachana na aliyekuwa boyfriend wake James Harded, na kufuta kesi ya kudai talaka na kuipa ndoa […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIoWBqlOmaFAHYI3CN45AlC249jau*Lw5vlu46o9092ylLjOUkyoYPkIe304NLFQ0Jg5jQTVzaxpz388yERdjK1x/Dk.MakongoroMahanga.jpg?width=650)
HUYU ATARUDI/ HATARUDI BUNGENI?
SEGEREA, DAR ES SALAAM MAKONGORO MAHANGA Segerea ni moja kati ya majimbo nane ya uchaguzi jijini Dar es Salaam. Katika uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Segerea ilikuwa ndani ya Jimbo la Ukonga ambapo Dk. Makongoro Mahanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), alikuwa mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2000 hadi 2010 lilipogawanywa na kuwa majimbo mawili ya Ukonga na Segerea. Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Dk. Mahanga alihamia...
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Pellegrini: Aguero atarudi kutamba
Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini ameeleza matumaini yake kwamba Sergio Aguero ataanza kufunga tena mabao kwa wingi.
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Kocha: Ronaldo atarudi Old Trafford.
Aliyekuwa msaidizi wa kocha wa Manchester united Mike Phelan anaamini kuwa Cristiano Ronaldo atarudi katika kilabu ya Old Trafford
11 years ago
BBCSwahili22 May
Je Joyce Banda atarudi ikulu Malawi?
Wananchi wa Malawi wamepiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkubwa, huku Rais Joyce Banda akichuana na wapinzani wengine kumi na mmoja.
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Wenger hajui Wilshere atarudi lini
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema bado hajajua lini mchezaji wa kiungo Jack Wilshere atarejea uwanjani baada ya kujeruhiwa.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Francois Bizimana aachiliwa huru
watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania