Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Francois Bozize asema atarudi CAR

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya kati Francois Bozize ambaye kwa sasa yuko mafichoni amesema kwamba huenda akarudi nchini humo ili kuwania urais mwezi Octoba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Francois Bozize kuwekewa vikwazo

Wajumbe katika umoja wa mataifa wanasema kuwa wamekubaliana kumuwekea vikwazo aliyekuwa rais wa jamhuri ya afrika ya kati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bozize azuiwa kuwania urais CAR

Mahakama ya kikatiba nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imemzuia Rais wa zamani François Bozizé kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao.

 

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Shemeji wa Kanye West, Khloe Kardashian amekuwa bega kwa bega na mumewe Lamar Odom toka alipolazwa hospitali mara ya kwanza baada ya kukutwa hajitambui kutokana na kuzidisha dawa za kulevya huko Las Vegas. Hali ya Lamar ilimfanya Khloe kuamua kuachana na aliyekuwa boyfriend wake James Harded, na kufuta kesi ya kudai talaka na kuipa ndoa […]

 

10 years ago

GPL

HUYU ATARUDI/ HATARUDI BUNGENI?

SEGEREA, DAR ES SALAAM MAKONGORO MAHANGA Segerea ni moja kati ya majimbo nane ya uchaguzi jijini Dar es Salaam. Katika uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Segerea ilikuwa ndani ya Jimbo la Ukonga ambapo Dk. Makongoro Mahanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), alikuwa mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2000 hadi 2010 lilipogawanywa na kuwa majimbo mawili ya Ukonga na Segerea. Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Dk. Mahanga alihamia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini: Aguero atarudi kutamba

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini ameeleza matumaini yake kwamba Sergio Aguero ataanza kufunga tena mabao kwa wingi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha: Ronaldo atarudi Old Trafford.

Aliyekuwa msaidizi wa kocha wa Manchester united Mike Phelan anaamini kuwa Cristiano Ronaldo atarudi katika kilabu ya Old Trafford

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Joyce Banda atarudi ikulu Malawi?

Wananchi wa Malawi wamepiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkubwa, huku Rais Joyce Banda akichuana na wapinzani wengine kumi na mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger hajui Wilshere atarudi lini

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema bado hajajua lini mchezaji wa kiungo Jack Wilshere atarejea uwanjani baada ya kujeruhiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Francois Bizimana aachiliwa huru

watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani