Bozize azuiwa kuwania urais CAR
Mahakama ya kikatiba nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imemzuia Rais wa zamani François Bozizé kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Bility azuiwa kuwania urais Fifa
Raia wa Liberia Musa Bility ameondolewa kutoka kwenye kinyang’anyiro cha kuwania urais wa Fifa kwa sababu ya maadili.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Francois Bozize asema atarudi CAR
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya kati Francois Bozize ambaye kwa sasa yuko mafichoni amesema kwamba huenda akarudi nchini humo ili kuwania urais mwezi Octoba.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Mgombea urais TLP azuiwa kupiga kura
Mgombea Urais kwa tiketi ya TLP, Macmillan Lyimo, ameshindwa  kupiga kura baada ya kwenda katika kituo cha kupiga kura akiwa hana kitambulisho.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Al-Sisi kuwania Urais Misri
Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Lowassa: Nimeshawishika kuwania urais
Hatimaye mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema “ameshawishika†na kuweka bayana kuwa atachukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
MichuziNGEJELA: NIMEPATA FUNDISHO KUWANIA URAIS
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
MBUNGE...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania