Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Komba awaacha CCM ‘njiapanda’

Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma wakiifariji familia ya Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Kapteni John Komba nyumbani kwake Mbezi kwa Komba, Dar es Salaam jana. (Picha na Ikulu).KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba kimetajwa kuwa pigo kubwa kisiasa kwa viongozi wengi ambao baadhi wameshuhudia namna walivyosaidiwa katika kampeni kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM sasa njiapanda

>Wakati mkutano wa mwisho wa Bunge la 10 ukiendelea, baadhi ya wabunge CCM wamebaki njiapanda kimaamuzi iwapo waendelee kuikosoa Serikali ya chama chao na kujiweka mahali pazuri kwa wapigakura wao au waifagilie Serikali bila ya kujali hatima ya ubunge wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati Kuu yayaweka njiapanda makundi CCM

Habari kuwa Kamati Kuu ya CCM inayokutana Zanzibar kesho itajadili hatima ya vigogo sita wa chama hicho waliopewa onyo kwa kuanza kampeni za urais mapema, zimezidi kuyaweka makundi ya vigogo hao njiapanda.

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Habarileo

Sauti ya Kapteni John Komba kuendelea kunguruma CCM

Marehemu John Komba.SAUTI ya Kada wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Kiongozi wa Kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba, huenda ikaendelea kusikika katika vibao vipya ambavyo alishaviandaa.

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

CCM yapata pigo, nani ataimba kama Komba?

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

10 years ago

Mwananchi

John Komba Mpiga debe wa CCM aliyekuwa na msimamo

>Huwezi kumzungumzia John Damiano Komba kwa kirefu bila ya kutaja kikundi cha uhamasishaji cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT), msimamo wake na tuhuma ambazo zimekuwa zikimuandama katika siku za karibuni, hasa kwenye mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

Bongo Movies

Msiba Wa Komba: Wema Atoboa Kuwa Yeye ni Mwana CCM

Watu mbali mbali wakiwemo  waigizaji wa filamu hapa nchni wanaendelea kuonyesha  jinsi  walivyoguswa na kifo cha Mh. Captain John Komba kupita kurasa zao za mitandaoni usasani mtandao wa Instagram, wamekuwa kuweka picha  yake na kuandika maneno ya kumtakia kheri huko aendako.

Mwigizaji  Wema Sepetu nae ni mojawapo alieguswa na msiba huu na kuandika mameno kuonyesha majonzi alionayo  na kutoa kuwa  yeye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi  (CCM)kama alivyokuwa marehemu.

“Dah ni pigo kubwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Cultural envoy Komba's exit before polls big blow to CCM

In a newspaper column in February 1993 Prof Issa Shivji wrote about the role of “mental workers” in the ruling party CCM. The party was in a process of transformation in the face of a changing socio-economic situation. The early 1990s was a period when not only Tanzania had been obliged to embrace multi-party politics but had to also reduce the state’s stronghold on the economy and open doors for foreign investments.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani