VIDEO: Kifo cha Kapteni KOMBA chaishtua CCM
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/b3VmwKK_Qv4/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Wanusurika kifo wakienda kumzika Kapteni John Komba.
Watu watatu wakiwemo wanawake wawili na mwanaume mmoja wamenusurika kifo baada ya gari yao yenye namba ya usajili STK 7472 Kupinduka eneo la Tutukila mkoani Ruvuma katika barabara kuu ya Njombe-Songea wakielekea kumzika Kapteni John Komba.
Kwa mujibu wa mashuhuda wameiambia Kijukuu Blog kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa saba usiku juzi na kuongeza kuwa hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.
Source:Kijukuu Blog
10 years ago
Dewji Blog01 Mar
10 years ago
Habarileo07 Mar
Sauti ya Kapteni John Komba kuendelea kunguruma CCM
SAUTI ya Kada wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Kiongozi wa Kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba, huenda ikaendelea kusikika katika vibao vipya ambavyo alishaviandaa.
10 years ago
Michuzi03 Mar
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI RUVUMA KUSHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU KAPTENI KOMBA
![kn1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/kn1.jpg)
![kn2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/kn2.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Mar
JK: Kifo cha Komba ni pigo
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amewaongoza mamia ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam, wabunge, viongozi wa Serikali na wanasiasa wengine kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba, huku akisema kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe ni pigo.
Alisema kifo cha Kapteni Komba kimeliondolea Taifa mmoja wa viongozi wake wazuri, msanii mahiri, raia mwema na mzalendo wa kweli.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana, Rais...
10 years ago
Habarileo01 Mar
Buriani Kapteni John Komba
NI huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge, Kapteni wa Jeshi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na msanii mashuhuri wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG89vxSgAswCC9QN-3Um7-TXAknth*iFsZVcvZ21eaYBEJIk3NoTVel-J9bIwrSPLJ4UDMmewna6fryHP3hYsIoz/11.jpg?width=650)
UNDANI WA KIFO CHA KEPTENI JOHN KOMBA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA