KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE

Komweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku mwanamuziki wa bendi ya Vijana Jazz. Marehemu Hemed Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa mwamuziki wa bendi ya Vijana Jazz enzi hizo. Komweta Hemed Maneti a.k.a Chiriku ni Mtoto wa mwanamuziki wa zamani marehemu Hemedi Maneti Ulaya Chiriku aliyekuwa akiimba katika bendi ya umoja wa vijana, Vijana Jazz enzi hizo ambapo anasema amekuwa kwenye muziki kwa muda mrefu japokuwa kama ilikuwa kama...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Jul
KOMWETA HEMED MANETI A.K.A CHIRIKU WA VIJANA JAZZ AFUATA NYAYO ZA MAREHEMU BABA YAKE HEMEDI MANETI ULAYA


11 years ago
Mwananchi31 May
Miaka 24 ya kifo cha Hemed Maneti Ulaya
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Afuata Nyayo za Wema, Ahamasisha Matumizi Bora ya Mitandao ya Kijamii
Staa mrembo kutoka Bongo movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwenye followers zaidi ya laki nne kwenye mtandao wa Instagram amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii kujengana zaidi ikiwa ni siku chake baada ya staa mwenzake, Wema Sepetu kuwataka wanawake na jamii kwa ujumla kutumia mitando hiyo kuhamasishana kwenye vitu vya kimaendeleo zaidi.
“Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo,mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali najua mawazo yangu pekeyangu yanaweza yasitoshe mimi kufika...
11 years ago
Bongo521 Jul
Tudd Thomas afuata nyayo za Dr. Dre, kuingiza sokoni headphone zake ‘TTP’
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
DC Mkalama afuata nyayo za Rais Magufuli, amsimamisha kazi kwa muda usiojulikana Katibu Afya wake
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Christopher Ngubiangai,akitoa taarifa ya kumsimamisha kazi kwa muda usiojulikana katibu wa afya wa wilaya ya Mkalama,James Ndembo,kwa tuhuma ya kutafuna zaidi ya shilingi 19.6 milioni zilizokuwa zitumike kuhabarisha na kutoa elimu kwa wananchi,juu ya magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele.(Picha na Nathanile Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida,Christopher Ngubiangai,ameanza rasmi ‘kutumbua majipu’ baada ya...
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED
11 years ago
Bongo513 Oct
Picha: Watoto wa mastaa wa soka duniani wanaofuata nyayo za baba zao
11 years ago
Michuzi01 Nov
11 years ago
Michuzi18 Aug
KUNDI LA BONGO DANSI LA SHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUANZISHWA KWAKE NA VIJANA JAZZ