KONGAMANO LA ICT - WIZARA YA SAYANSI NA HUAWEI TANZANIA
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu na Md of Huawei Tanzania Bw. Zhan Yongquan anayeshuhudia ni balozi wa china nchini Tanzania, Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia na waziri wa afya wa Zanzibar Bw kombo.
Waziri wa Wizara ya Sayansi pro. Makame Mbawara akielezea Data Center iliyojengwa hapa Tanzania . Pembeni yake ni Director wa ICT Dr. Ally Simba
Mr. Jiang Xin (Product Manager wa Huawei Enterprises) akielezea Data Center.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA .
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziHUAWEI TANZANIA NA WIZARA YA MAWASILIANO,SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia waungana katika kongamano la Teknohama litakalofanyika Juni 18-19
Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Dk Ally Simba (kushoto) akipeana mkono na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Bwana Samson Majwala katika ushirikiano wao huo. anayefuatia ni Afisa wa Huawei.
Kampuni ya Huawei Tanzainia ikishirikiana na Wizara na Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia inatarajiwa kufanya kongamano la kwanza la Huawei Cloud Conference katika ukumbi wa Julius Nyerere Convential Centre (JNICC) kwa siku mbili yaani Juni 18 na 19...
10 years ago
GPLHUAWEI NA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu (kushoto) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar. Bw. Mahamoud Thabit Kombo.
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Huawei Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wpFlWBEIuOU/VXVPFND6mPI/AAAAAAAHc_U/1IuRBJgHxrg/s72-c/unnamedmmmm.jpg)
HUAWEI YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA SECTA YA ICT NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wpFlWBEIuOU/VXVPFND6mPI/AAAAAAAHc_U/1IuRBJgHxrg/s640/unnamedmmmm.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ciG5yRxlT_M/VXVPFQ51hWI/AAAAAAAHc_Y/54_rN18hPQ8/s640/unnamedmmmmy.jpg)
10 years ago
Coastweek20 Jun
China Huawei appointed ICT advisor to Tanzanian government
Yibada (English Edition)
Coastweek
DAR ES SALAAM Tanzania (Xinhua) -- Tanzanian government has chosen Huawei, a leading global information and communications technology (ICT) solutions provider based in China, to be its technical advisor in empowering the East African country's ICT ...
China's Huawei Chosen to Become ICT Advisor to Tanzanian GovernmentYibada (English Edition)
China's Huawei becomes ICT advisor to Tanzanian gov'tecns
all 3...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-52B9lNPF3ac/VhZHXSUQLSI/AAAAAAABmzw/TjW3ic3PzDA/s72-c/IMG_2741.jpg)
NIMRI KUFANYA KONGAMANO LA SAYANSI LA 29 KUANZIA OKTOBA 13-15, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-52B9lNPF3ac/VhZHXSUQLSI/AAAAAAABmzw/TjW3ic3PzDA/s640/IMG_2741.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0dOCZNNiJLU/VhZHXbspl2I/AAAAAAABmzs/hfxPFwMmJFE/s640/IMG_2702.jpg)
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu inapenda kutoa taarifa kuwa itafanya Kongamano lake la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s72-c/IMGL0341.jpg)
JK ALIPOFUNGUA KONGAMANO LA NNE LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s640/IMGL0341.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8BDfz3w-MJA/VYvG6erGEjI/AAAAAAAHjxk/dA_O2U0b5a8/s640/IMGL1813.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
JK afungua kongamano la kimataifa la sayansi, teknolojia na ubunifu jijini Dar leo
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati akifungua Kongamano la nne la Kimataifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Sayansi ya Jamii (REPOA), Profesa Samuel Wangwe akitoa hutuba mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa kongamano hilo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, (COSTECH), Dk.Hassan Mshinda akizungumza...