Konyagi yawa mshindi wa pili tuzo za uzalishaji bora Tanzania
Watendaji wakuu wa kampuni ya Tanzania Distilleries Limited maarufu Konyagi, wakifurahia kombe kombe la ushindi wa pili wa tuzo ya Rais ya Mzalishaji Bora wa Mwaka 2014 baada ya kukabishbiwa kutoka kwa Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, kwenye hafla ya makabidhiano ya tuzo hizojijini Dar es Salaam juzi usiku. TDL ni kampuni tanzu ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).(PICHA NA MPIGAPICHA WETU).
![](http://4.bp.blogspot.com/-BnK_RRoDG_A/VORsW0A7kXI/AAAAAAAAzAY/znTcuSqoUCM/s1600/Konyagi2.jpg)
Meneja wa Mauzo wa Tanzania Distilleries Limited (TDL) maarufu Konyagi, Joseph Chibehe (...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6ZNvXJtMyeM/UzuVfkFErzI/AAAAAAACd4M/X1dJtqzuYHQ/s72-c/TBL_01.jpg)
TBL YAIBUKA MSHINDI WA PILI TUZO ZA MZALISHAJI BORA WA MWAKA 2013
![](http://1.bp.blogspot.com/-6ZNvXJtMyeM/UzuVfkFErzI/AAAAAAACd4M/X1dJtqzuYHQ/s1600/TBL_01.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Nov
KAMPUNI YA KONYAGI YANYAKUWA TUZO MBILI ZA ULIPAJI KODI BORA NCHINI
11 years ago
GPLDK. MARIA KAMM NDIYE MSHINDI WA TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
10 years ago
VijimamboMSHINDI WA PILI MISS TANZANIA USA PAGEANT AHUDHURIA DMV AWARDS
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IkGzx41EZoI/VJkZFvM1VdI/AAAAAAAG5Tg/8jiDDbSoU3I/s72-c/60c0dfa0-695f-11e4-bed6-93ee9fdcc61d_Tanzania-Nale-Boniface.jpg)
MSHINDI WA PILI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 NDIYE ATAIWAKILISHA NCHI MASHINDANO YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IkGzx41EZoI/VJkZFvM1VdI/AAAAAAAG5Tg/8jiDDbSoU3I/s1600/60c0dfa0-695f-11e4-bed6-93ee9fdcc61d_Tanzania-Nale-Boniface.jpg)
Hatua hii imechukuliwa baada ya mshindi husika Miss Universe Tanzania 2014, Carolyne Bernard kupata ajali na kuvunjika kidole chake cha mguu. Ripoti ya daktari imeonyesha kuwa kupona kwake kutachukua mwezi mmoja wakati mrembo anatakiwa awe...
10 years ago
Vijimambo23 Dec
MSHINDI WA PILI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 NDIYE ATAIWAKILISHA NCHI MASHINDANO YA KIMATAIFA
![](http://beauty-around.com/images/sampledata/mISS_UNIVERSE/Miss_Universe_logo_E.frstephensmuts.wordpress.jpg)
Kamati ya Miss Universe Tanzania imemteua mshindi wa pili wa Miss Universe 2014, Nale Boniface kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe yatakayofanyika mwanzoni mwa mwezi wa kwa kwanza 2015 Miami, Marekani.
Hatua hii imechukuliwa baada ya mshindi husika Miss Universe Tanzania 2014, Carolyne Bernard kupata ajali na kuvunjika kidole chake cha mguu. Ripoti ya daktari imeonyesha kuwa kupona kwake kutachukua mwezi mmoja wakati mrembo anatakiwa awe mashindanoni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJxCeZQUHeath3-7miOSM5zvjq*R7XVotZ*2btP86Kco371JCqLFhtWMdxX0RvpP-t3rS5Iajdr4uQ*x8ZTOPAJ/TASWALOGO.jpg)
MABORESHO TUZO ZA WANAMICHEZO BORA TANZANIA