Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korongo la mto Kikombo latishia usalama kaya 350

KAYA zaidi ya 350 na majengo ya taasisi mbalimbali katika Wilaya ya Mpwapwa mkoani hapa viko hatarini kusombwa na maji kutoka kwenye korongo la Mto Kikombo ambalo limebadilisha mwelekeo wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile

Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.

 

5 years ago

CCM Blog

GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)


Kutoka Daraja la Wami, zimetokea ajali mbili tofauti ambazo hazijapishana sana, moja ni ya Lori ambalo lilifeli breki na kutumbukia Mtoni na bado halijatolewa huku ikiaminika kuwa Dereva bado yupo ndani ya Lori hilo chini ya maji tangu Ijumaa June 05, 2020 ajali ilipotokea, wenzake wawili tayari wameokolewa .Wakati Watu wakiwa wamejaa kushuhudia ajali hiyo ghafla Lori jingine pia likafeli breki na kuua Watu wawili (Mama na Mtoto) kisha kuyazoa magari zaidi ya sita ambayo yote yameharibika...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA

 Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF, Eugen Mikongoti akifungua kikao kilichowashirikisha wenyeviti wa bodi na makatibu wa Vituo Vya Afya, Zahanati na Hospitali wa Manispaa ya Temeke juu ya mpango wa bima ya afya kwa kayo iliyofanyika leo jijni Dar es Salaam. Meneja wa Mkoa wa Temeke wa NHIF, Costantino Makala akitoa maada katika kikao hicho leo latika ukumbi wa Temeke jijini Dra es Salaam.wa katikati ni Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF,Eugen Mikongoti Kushoto ni Mganga...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni

SAM_0215

Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.

SAM_0229

Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...

 

11 years ago

Habarileo

Korongo hatarini kutoweka

VIUMBE hai vinavyotumia maji katika ziwa Manyara lililopo ndani ya mbuga ya Hifadhi ya Taifa ya Manyara wakiwemo ndege aina ya korongo huenda wakatoweka kwa kufa kufuatia kunywa maji yanayodaiwa kuwa na kemikali yenye sumu ambayo hutiririka katika ziwa hilo kutoka katika mito inachimbwa na kuchekechwa madini ya dhahabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanki Ubungo latishia maisha

WAKAZI wa Ubungo, eneo la Kanisa la Ufufuo, Dar es Salaam, wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) kushindwa kulifanyia ukarabati tanki la maji lililojengwa kwa zege...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI ZUNGU AKAGUA ATHARI ZILIZOSABABISHWA NA KORONGO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu mwishoni mwa wiki amefanya ziara ya kikazi wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma kukagua athari zilizosababishwa na korongo kubwa kando ya Mto Shaban Robert. 
Akizungumza wakati wa ziara hiyo aliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kufanya tathmini ya haraka kupata ufumbuzi wa tatizo hilo ili kunusuru wananchi kuzingirwa na maji yanayojaa katika mto huo. 
Waziri Zungu alisema pamoja na...

 

11 years ago

Employment

350 former civil servants apply for re


Daily News
350 former civil servants apply for re-employment
Daily News
OVER 350 civil servants who resigned are now seeking re-employment in various public offices, the Minister of State in the President's Office (Public Service Management), Ms Celina Kombani, has said. Ms Kombani said this in a speech read on her behalf by ...

 

10 years ago

Michuzi

Merceds Benz ML 350 inauzwa

 Merceds Benz ML 350 ya mwaka 2003 inauzwa.Rangi ni Silver, engine capacity ni 3720 cc, petrol, iko kwenye hali nzuri kabisa. Bei milioni 22 Tshs tuKwa mawasiliano zaidi  tafadhali tumia namba za simu :0767 484351 au 0779484351 Ubavuni Kwa mbele Ndani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani