Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanki Ubungo latishia maisha

WAKAZI wa Ubungo, eneo la Kanisa la Ufufuo, Dar es Salaam, wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) kushindwa kulifanyia ukarabati tanki la maji lililojengwa kwa zege...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile

Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.

 

10 years ago

Habarileo

Korongo la mto Kikombo latishia usalama kaya 350

KAYA zaidi ya 350 na majengo ya taasisi mbalimbali katika Wilaya ya Mpwapwa mkoani hapa viko hatarini kusombwa na maji kutoka kwenye korongo la Mto Kikombo ambalo limebadilisha mwelekeo wake.

 

11 years ago

GPL

LORI LA TANKI LA MAFUTA LAPINDUKA

Lori la tanki la mafuta lapinduka katika barabara ya Morogoro, jirani na Daraja la Ruvu na kufunga njia hivyo kusababisha foleni kubwa ya magari na adha kubwa kwa wasafiri. Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita na njia haipitiki!

 

10 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AZINDUA MRADI WA TANKI LA MAJI MANISPAA YA MOSHI

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi ,MUWSA wakishiriki kupokea Mwenge wa Uhuru ulipotembelea eneo hilo.Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa ,Rachel Kassanda akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi katika tanki la Maji la Longuo A.Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Rachel Kassanda akifungua maji kuashiria kuanza kutumika kwa maji yanayotka katika tanki la Maji lililozinduliwa.Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Rachel Kassanda akibeba maji...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MBARAWA AKAGUA TANKI LA MAJI LENYE KUBEBA LITA MILIONI 10 ARUMERU

 Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Christine Kessy kuhusu utekelezaji wa mradi wa maji wa vijiji vitano unaofadhiliwa na DFID katika Halmashauri ya Arumeru. Waziri wa Maj Mhe Prof Makame Mbarawa kushoto kwake akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe Mrisho Gambo wakielekea kukagua tanki la maji lenye kuweza kubeba Lita Milioni 10.Waziri wa Maji, Prof Makame Mbarawa akikagua tanki la mradi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanki mafuta lalipuka na kusababisha adha kubwa kwa wasafiri maeneo ya Shelui Singida

Untitled 4

Baadhi ya wananchi wakipiga picha wakati tanki la mafuta la kampuni ya B. Clarke Haulege Construction, Tanki hilo ni mali ya Bw. Bundala Kapela wa Igunga ni namba T634 BCZ lenye vyumba vinne na uwezo wa kubeba lita 40.000 za mafuta ya Petroli lililipuka majira ya Saa 11:00 katika barabara kuu ya Dodoma Mwanza eneo la Shelui mkoani Singida wakati breki za tanki hilo upande wa kushoto zilipojam na kusababisha moto, Jambo lililomfanya dereva wa roli lenye namba za usajiri T 164 CGF aina ya...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Maghembe akagua Maendeleo ya Ujenzi wa Tanki la Maji katika kijiji cha Itege mjini Dodoma

Waziri wa Maji,Mhe. Prof. Jumanne Maghembe akikagua ujenzi wa tanki la maji lenye ujazo wa lita million 5.5 kwa ajili ya kuhudumia wakazi wapatao 20,000 katika eneo la Itege mjini Dodoma. Tanki hilo ni miongoni mwa matenki manne yanayoendelea kujengwa. Ujenzi wa mradi huu unajengwa kwa ushirikiano wa Serikali za Tanznia na Jamhuri ya Korea kwa gharama ya Sh. Billion 78. Mkandarasi wa Ujenzi wa Matanki hayo akimuelekeza kitu Waziri wa Maji,Mhe. Prof. Jumanne Maghembe wakati alipofika kukagua...

 

5 years ago

Michuzi

Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro

Mnamo tarehe 04 April 2020 kundi la Simba Jamii Tanzania " Ultras" lilikabidhi zawadi ya tank la maji la lita 2,000 pamoja na kifaa cha kuzalisha umeme Jua (Solar) kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Ukhty Raya kilichopo eneo la Mindu mkoani Morogoro.

Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani