Korti Dar yatoa amri mirathi ya Wakili Komba
Mahakama ya Wilaya ya Ilala, imezuia wasimamizi wa mirathi wa aliyewahi kuwa Mwanasheria wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi, (TACAIDS) Samweli Komba, Sara Joseph na Agness Komba, au yeyote wa upande wao kujihusisha na makazi ya Editha Majura, mzazi mwenzake na marehemu Komba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-65vcYacZzyU/XmM910wsLjI/AAAAAAAAf_k/pBVB07UYovoywLJr3vsKFbkbd9MZGa80QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200306-WA0020.jpg)
HATA WANAWAKE WANAWEZA KUANDIKA MIRATHI -WAKILI SUZANA SENSO
![](https://1.bp.blogspot.com/-65vcYacZzyU/XmM910wsLjI/AAAAAAAAf_k/pBVB07UYovoywLJr3vsKFbkbd9MZGa80QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200306-WA0020.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yz2EL1oUooA/XmM95DntBfI/AAAAAAAAf_o/dQRLeQbh4NIZWIjL9me3xxloOJwuu8_0wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200306-WA0012.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s72-c/law_5.jpg)
KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s320/law_5.jpg)
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
11 years ago
Habarileo19 Jun
Mahakama yatoa amri mazishi ya Profesa
MAHAKAMA ya Wilaya Tarime, imeamuru mwili wa Profesa Patropher Ondiek (78) usubiri siku 10 zaidi kuzikwa ili watoto wake wahudhurie maziko. Akisoma hukumu juzi kutokana na shauri la madai lililofunguliwa na mke wa marehemu, Luth Mary Ondiek, Hakimu wa Wilaya Amworo Odira alisema uamuzi huo umetokana na wanafamilia kukubaliana.
5 years ago
BBCSwahili29 Mar
Coronavirus: Serikali ya Rwanda yatoa chakula kwa walioathiriwa na amri ya kukaa nyumbani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UDdZgbyE2NQ/XllAsybmZXI/AAAAAAACzrI/FEioO4m5xcslemsAgjfm0fZwPRNhwmtbQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111072171_26930139-ee7c-4adb-88b8-1a076d453df1.jpg)
MAHAKAMA KUU YA KENYA YATOA AMRI KUSITISHWA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA CHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UDdZgbyE2NQ/XllAsybmZXI/AAAAAAACzrI/FEioO4m5xcslemsAgjfm0fZwPRNhwmtbQCLcBGAsYHQ/s640/_111072171_26930139-ee7c-4adb-88b8-1a076d453df1.jpg)
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini Kenya kutoka China kupitia uwanja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sf6EWHNfuxw/XllAw6P-G7I/AAAAAAALf9I/y_CORtVkQzUSO-twLZgUTBsacp6OXC29wCLcBGAsYHQ/s72-c/4bppa8a80699c4154m1_800C450.jpg)
Mahakama Kuu ya Kenya yatoa amri ya kusitishwa ndege zote kutoka China
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sf6EWHNfuxw/XllAw6P-G7I/AAAAAAALf9I/y_CORtVkQzUSO-twLZgUTBsacp6OXC29wCLcBGAsYHQ/s640/4bppa8a80699c4154m1_800C450.jpg)
Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Korti yazuia bomoabomoa Dar es Salaam
10 years ago
GPLSTEVE NYERERE, WAKILI MAKENE WACHUKUA FOMU UBUNGE KINONDONI DAR
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wakili Elias Nawera achukua fomu za kuwania Ubunge jimbo la Kawe Jijini Dar