Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kova: Madereva kataeni kutoa rushwa

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman Kova, amewataka madereva wanaoendesha vyombo vya moto, kutoa taarifa za askari wanaodai rushwa pindi wanapobainika na makosa ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pinda: Kataeni wanaotaka uongozi kwa kutoa rushwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ameonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa, ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yakana madai ya kutoa rushwa

Shirikisho la kandada nchini Ujerumani limekana vikali madai kuwa lilitumia rushwa ili kupata nafasi ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2006.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Sijawahi kutoa, kupokea rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hajawahi kutoa wala kupokea rushwa. Waziri mkuu huyo anayejipambanua kwa kupiga vita rushwa alisisitiza kwamba katika kipindi cha miaka 20 aliyokuwa Mbunge wa Hanang’...

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea CCM, Ukawa vinara wa kutoa rushwa

Mwamvuli wa waangalizi wa ndani wa uchaguzi (Cemot), umetoa ripoti ya mwenendo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini wa mwezi mmoja inayoonyesha kuwa CCM imeongoza kwa kujihusisha na rushwa ikifuatiwa na Ukawa.

 

5 years ago

Michuzi

TUTAWANG’OA WENYE KUTOA RUSHWA MAKAMU WA RAIS AONYA

Na Mwandishi wetu ShinyangaMAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba yao...

 

10 years ago

Habarileo

Takukuru kutoa elimu kwa jamii kuepuka rushwa

Kurugenzi wa TAKUKURU Dr Edward HoseahTAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) imesema ina mpango mkakati unaowahusisha wadau mbalimbali wa namna ya kuielimisha jamii ielewe juu ya madhara ya rushwa ili kwa pamoja, iweze kusaidia katika mapambano ya kuitokomeza.

 

10 years ago

GPL

MADEREVA DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO

(Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye lori kutokana na mgomo wa daladala. Picha na Maktaba Yetu) MADEREVA Daladala jijini Arusha,leo wamefanya mgomo wa kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo kwa kile kinachodaiwa kugomea kuanzishwa kwa safari mpya wanayotakiwa kuianza hivi sasa. Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu, huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa...

 

9 years ago

Michuzi

madereva wa BRT watakiwa kuzingatia mafunzo, weledi katika kutoa huduma

Serikali imewataka madereva walioanza kupata mafunzo ya kuendesha mabasi yatakayotumika katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) kuzingatia mafunzo hayo ya kihistoria hapa nchini. Mafunzo hayo yaliyoanza jana ni moja ya matayarisho ya kuanza kwa mradi huo katika kipindi cha mpito mwezi Oktoba mwaka huu. Akifungua rasmi mafunzo hayo jana jijini Dar es Salaam, Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Bi. Hawa Ghasia aliwataka madereva hao...

 

10 years ago

GPL

SANDRA: SIJAWAHI KUTOA RUSHWA YA NGONO KWA ‘DAIREKTA’

Na Imelda Mtema
MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa wengine. Msanii wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akizungumza na mwandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani