Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuchaguliwa Sitta, Suluhu kwapongezwa

MTANDAO wa Wanawake na Katiba kwenye mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake katika Katiba mpya, umeeleza kufurahishwa na hatua za uongozi wa Bunge Maalumu kuzingatia usawa wa kijinsia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Samia Suluhu Makamu wa Sitta

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, anayeshughulikia Muungano, Samia Suluhu Hassan, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo jana, Msimamizi wa Uchaguzi huo, Dk Thomas Kashililah, alisema Samia alipata kura 390, sawa na asilimia 74.6 ya kura zote zilizopigwa, 523.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta, Suluhu, Migiro watwishwa lawama

MTETEZI wa haki za wanawake, Ananilea Nkya, amesema kuvurugika kwa Bunge Maalum la Katiba, wa kulaumiwa ni Mwenyekiti Samuel Sitta, Makamu wake Samia Suluhu na Waziri wa Katiba na Sheria,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa Rais kabla ya kuchaguliwa

Edward Lowassa, akisalimiana na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, mjii Dodoma wakati wa mchakato wa uchaguzi wa CCM wa kutafuta mgombea wake wa urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa tarehe 25, mwezi huu. Picha kutoka maktaba […]

The post Lowassa Rais kabla ya kuchaguliwa appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Pongezi JK kuchaguliwa Rais Bora Afrika

Tumefurahishwa na habari kwamba Rais Jakaya Kikwete amechaguliwa na jarida la kimataifa kuwa kiongozi bora mwenye mchango mkubwa zaidi katika maendeleo barani Afrika kwa mwaka 2013.

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi aomba kuchaguliwa amalizie miradi ya maendeleo

Aliyekuwa mbunge wa Isimani (CCM), mkoani Iringa, William Lukuvi anayetetea tena kiti hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, amewaomba wakazi wa jimbo hilo kumchagua kwa mara nyingine ili akamilishe miradi ya maendeleo aliyoianzisha.

 

10 years ago

Habarileo

Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi

Profesa Kitilla Mkumbo WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa kigeni wadaiwa kuchaguliwa kuwa wenyeviti wa vijiji

Dodoma.Wabunge wanaotoka mikoa ya mipakani wamelalamikia kuhusiana na watu wasio rai kupiga kura na kuchaguliwa katika chaguzi kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba kipimo cha kuchaguliwa tena 2015 

WABUNGE wa kuchaguliwa ambao pia ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watapimwa na watanzania kama kweli ni wazalendo kwa nchi yao au ni wazalendo kwa vyama vyao. Watapimwa jinsi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani