Sitta, Suluhu, Migiro watwishwa lawama
MTETEZI wa haki za wanawake, Ananilea Nkya, amesema kuvurugika kwa Bunge Maalum la Katiba, wa kulaumiwa ni Mwenyekiti Samuel Sitta, Makamu wake Samia Suluhu na Waziri wa Katiba na Sheria,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Jun
Migiro ajitosa urais, Sitta kurudisha fomu
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Daily News16 Jun
Bilal, Sitta return forms as Migiro, two others, pick theirs in Dodoma
Daily News
TWO CCM presidential hopefuls - the Vice-President, Dr Mohamed Gharib Bilal and Transport Minister, Mr Samuel Sitta - on Monday returned their union presidential nomination forms at the party's headquarters here after completing the guarantors' seeking ...
Tanzania's former UN top female official vies for presidencyGlobal Times
all 3
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oKxTM5m0cec/U_5gR0GO2jI/AAAAAAAA_sA/dqVpPxosogE/s72-c/IMG_3109.jpg)
JUKATA WAMBEBESHA LAWAMA SITTA, WASEMA KATIBA MPYA NI NDOTO KUPATIKANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oKxTM5m0cec/U_5gR0GO2jI/AAAAAAAA_sA/dqVpPxosogE/s1600/IMG_3109.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Wakati mchakato wa katiba Tanzania ukiwa ni kama kitendawili kisicho na majibu sahihi kutokana na mchakato huo kuvurugika na kukosa mwelekeo, nao Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA) wazidi kumtupia lawama zote za kuvurugika bunge hilo mwenyekiti wa bunge hilo mheshimiwa Samweli Sitta na kudai kuwa ndiye...
11 years ago
Habarileo14 Mar
Samia Suluhu Makamu wa Sitta
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, anayeshughulikia Muungano, Samia Suluhu Hassan, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo jana, Msimamizi wa Uchaguzi huo, Dk Thomas Kashililah, alisema Samia alipata kura 390, sawa na asilimia 74.6 ya kura zote zilizopigwa, 523.
11 years ago
Habarileo17 Mar
Kuchaguliwa Sitta, Suluhu kwapongezwa
MTANDAO wa Wanawake na Katiba kwenye mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake katika Katiba mpya, umeeleza kufurahishwa na hatua za uongozi wa Bunge Maalumu kuzingatia usawa wa kijinsia.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Vigogo watwishwa zigo Z’bar
*Wamo Dk. Salmin Amour, Mwinyi, Amani Karume
*Zitto amtaka Magufuli atangaze hali ya hatari
*Jumuiya ya Madola yaingilia kati
Na Waandishi Wetu, Zanzibar/Dar
JUHUDI za kusaka suluhu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar zinaendelea, baada ya vigogo kadhaa wa kitaifa na kimataifa kuongezwa katika timu ya mazungumzo.
Taarifa kutoka visiwani huko zinasema, katika kufanikisha mchakato huo imeundwa kamati maalumu inayowashirikisha marais wote wastaafu wa Zanzibar kwa lengo la...
11 years ago
Habarileo16 May
Wakuu wa mikoa watwishwa mzigo
RAIS Jakaya Kikwete, amewaagiza wakuu wa mikoa kupunguza vifo vya watoto na akinamama vinavyotokana na uzazi katika mikoa yao, huku akiwahadharisha kwamba atafuatilia kwa karibu utendaji wao kuona namna wanavyoshughulikia tatizo hilo.