Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUFUATIA KIFO CHA MMAREKANI MWEUSI FREDDIE GRAY, WAANDAMANI WAPAMBANA NA POLISI MJINI BALTMORE

Gloria Darden, mama mzazi wa kijana Freddie Gray aliyekufa akiwa mikononi mwa polisi akiwa mbele ya jeneza lenye mwili wa mtoto wake wakati wa maziko yake.Mazishi ya kijana Freddie Gray aliyekufa akiwa mikononi mwa polisi yakifanyikaVurugu kubwa ziliibuka jana katika mji wa Baltmore kati ya polisi na waandamanaji waliokasirishwa na kifo cha kijana Mmarekani mweusi, Freddie Gray aliyefariki dunia akiwa mikononi mwa polisi. 
Hali ya hatari na kutotembea hovyo imetangazwa katika mji huo kufuatia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

TRUMP AFICHWA KATIKA HANDAKI KUHOFIA MAANDAMANO YA KIFO CHA MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD.

Usalama umeimarishwa katika Ikulu ya Whitehouse katika siku za hivi karibuniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionUsalama umeimarishwa katika Ikulu ya Whitehouse katika siku za hivi karibuniMaandamano na ghasia kufuatia kifo cha George Floyd yaliikaribia Ikulu ya Whitehouse.Tangu wiki iliopita, makao makuu ya ofisi hiyo na makaazi ya rais wa Marekani yalikuwa kitovu cha maandamano makubwa zaidi kufanyika nchini humo tangu yale yaliofanyika baada ya mauaji ya Martin Luther King 1968.Kifo cha Floyd baada ya afisa wa polisi kumwekea goti katika shingo yake kwa zaidi...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maafisa wanne weupe wafutwa kazi kufuatia kifo cha mtu mweusi ambaye hakujihami

FBI inawachunguza polisi wa Minneapolis paada ya video inayomuonesha mtualiyeshikwa akisema "Siwezi kupumua".

 

5 years ago

Michuzi

GEORGE FLOYD; MMAREKANI MWEUSI ALIYEKUSANYA MAMIA YA WATU KUPINGA KIFO CHAKE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

"SIWEZI KUPUMUA" ni kauli ya mwisho ya George Floyd mmarekani mweusi aliyefariki baada ya kukandamizwa shingo kwa dakika takribani nane hadi kupoteza uhai na afisa wa polisi wa Minneapolis Derek Chauvin akituhumiwa kutoa pesa bandia ya dola ishirini katika duka moja akiwa ananunua sigara.

Floyd (46) alizaliwa Kaskazini mwa Carolina na kuishi Houston na Texas akiwa mdogo na alihamia Minneapolis miaka ya nyuma baada ya kutoka gerezani kwa lengo la kutafuta kazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya Freddie Gray,maafisa mbaroni

Jopo la majaji wa mahakama ya Baltimore limewafungulia mashitaka maafisa sita wa polisi kufuatia kifo cha Freddie Gray.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

5 years ago

CCM Blog

MKE WA PILISI ANAYETUHUMIWA KUMUUA MMAREKANI MWEUSI ADAI TARAKA

  Kellie Chauvin, Mke wa Derek Chauvin Polisi ambaye anatuhumiwa kwa kumkanyaga shingoni Mmarekani mweusi George Floyd hadi kupelekea kifo chake, amedai talaka kwa Mumewe, kupitia kwa Wakili wake Kellie amewapa pole Ndugu wa Marehemu Floyd na kusema Mumewe amefanya ukatili.

 

5 years ago

CCM Blog

UCHUNGUZI BINAFSI WABAINI MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD ALIKUFA KWA KUKOSA HEWA

Kaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha 'Image captionKaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha 'George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alikufa kutokana na ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.Alifariki kwa kukandamizwa kwa goti shingoni na mgongoni na maafisa wa polisi wa Minneapolis, uchunguzi wa kimatibabu uliosimamiwa na familia ya Floyd umebaini hilo.Matokeo hayo yanatofautiana na matokeo ya uchunguzi wa mwili wake uliofanywa na...

 

10 years ago

Michuzi

JK ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA ZA MZEE RUANGISA



THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,      STATE HOUSE,               1 BARACK OBAMA ROAD,   11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa ya kifo cha...

 

10 years ago

Bongo5

Weusi waahirisha show ya Mbeya kufuatia kifo cha Geez Mabovu

Weusi wamethibitisha kwa Bongo5 kuwa wameahirisha show yao ya Funga Mwaka iliyokuwa ifanyike jijini Mbeya Ijumaa hii kufuatia kifo cha rapper Geez Mabovu kilichotokea Jumatano jioni. Joh Makini amesema Geez alikuwa kama mtu wa familia yao. “Kusema na ukweli hatutaweza kufanya show ya Mbeya,” Joh Makini ameimbia Bongo5 kwa huzuni. “Ni kwasababu Geez ni mshikaji […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani