Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kufuta uchaguzi ni kukaribisha machafuko

Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, yamefutwa. Uamuzi huo unaifanya Zanzibar kuwa miongoni mwa nchi ambazo matokeo ya uchaguzi yaliyoelekea kuvipa ushindi vyama vya upinzani kufutwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TIKO: MUNGU ATUEPUSHIE MACHAFUKO UCHAGUZI

Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Tiko Hassan amemuomba Mungu aiepushe Tanzania na machafuko wakati huu taifa likijiandaa kwa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba mwaka huu. Staa wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Akipiga stori na gazeti hili, msanii huyo aliwataka watu kutofanya mambo kwa kufuata mkumbo kwani uchaguzi unaonekana kuwa mgumu wenye mchuano mkali baina ya vyama vyote vya siasa. “Nina...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi kunasubiri kuwapo machafuko?

Kama kuna jambo ambalo limewafanya wananchi wengi kukuna vichwa kwa muda mrefu pasipo kupata majibu, ni kutoundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia chaguzi mbalimbali na mchakato wa kupata Katiba Mpya katika ngazi zote zilizosalia, baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kumaliza kazi yake rasmi wiki ijayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba aishukia ZEC kufuta uchaguzi Zanzibar

Mwenyikiti Mstaafu wa Chama cha Wananchi Cuf, Prof Ibrahim Lipumba amesema Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salum Jecha amekiuka sheria kwa  kusitisha utangazaji wa matokeo kwani inaweza kuleta mgogoro wa kisiasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Marekani yasikitishwa na tamko la ZEC kufuta uchaguzi Z’bar

Serikali ya Marekani imesema imestushwa na tamko lililotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ambapo ametamka kusudio lake la kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kitongoji kilichojivunia kukaribisha Papa

Papa Francis alikamilisha ziara yake leo hii nchini Kenya, lakini siku yote ameangazia umaskini na kuwathamini vijana.

 

10 years ago

Vijimambo

PARTY YA KUKARIBISHA MWAKA 2015 DMV



UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV UNA FURAHA KUWAKARIBISHA KWENYE SHEREHE YA KUKARIBISHA MWAKA 2015TAREHE 31/12/2014 SAA 1:00 USIKU HADI SAA9 ALASIRI********************************************  KARIBUNI NYOTE TUJUMUIKE NA MGENI WETU RASMI BALOZI WA UMOJA WA NCHI ZA AFRIKA MAREKANI, MHE. AMINA SALUM-ALI   

          
USIKU HUU UTAJUMUISHA  YAFUATAYO;
UFAFANUZI  MURUA KUTOKA KWA IMMINGRATION LAWYER KUHUSU SHERIA  ZA UHAMIAJI  ZILIZOPITISHWA  CHINI YA UONGOZI WA MHE. RAIS BARACK...

 

11 years ago

Michuzi

Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

TAMPRO inayofuraha kwa heshima na taadhima kukuarifu kufanyika kwa Kungamano la Sita la Kukaribisha Mwezi wa Ramadhan 1435H, Siku ya Jumapili June 22, 2014 Katika ukumbi wa Julias Nyerere International Convention Centre (JNICC) – Shaaban Robert Street,Dar es Salaam kuanzia saa 02:30 Asubuhi Mpaka Saa 10:30 Alasiri.
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kuna umuhimu gani kwa wanawake wa Uganda kupiga magoti wakisalimia na kukaribisha chakula

Nchini Uganda, wanawake wa jamii ya Buganda na huwa wana utaratibu wa kupiga magoti wakati wanapoandalia watu chakula na wanaposalimia

 

9 years ago

Michuzi

Dkt Shein Atoa salamu Kwa Wananchi Kukaribisha Mwaka Mpya na habari zingine kupitia simu TV



Wachezaji wa klabu ya Simba jana wamelionja joto la jiwe baada ya mashabiki wa Ndanda FC kuwavamia wachezaji wakati wa mazoezi.  https://youtu.be/6kqjr9XjQ00
Timu ya CDA imetupwa nje katika mashindano ya kombe la shirikisho baada ya kupokea kichapo cha bao 1 toka kwa Singida United.  https://youtu.be/KmxQHdfWOqUSerikali imetoa tamko kuwa itaendelea kuwalipa mishahara makocha wote  wa timu za taifa   https://youtu.be/Ochi73k6Q64Fahamu mengi kutoka kwa Mch. Samwel Maela akikufundisha mengi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani