Kufuta uchaguzi ni kukaribisha machafuko
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, yamefutwa. Uamuzi huo unaifanya Zanzibar kuwa miongoni mwa nchi ambazo matokeo ya uchaguzi yaliyoelekea kuvipa ushindi vyama vya upinzani kufutwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3Njph7qDNuPjKhB8dG1Ab83-nnT0430m*117eSKdE4bl-2GH-tGG84LJv2YUtnfWTlVODLtkByyu1Fp8dTN7i4o/Tiko1.jpg)
TIKO: MUNGU ATUEPUSHIE MACHAFUKO UCHAGUZI
Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Tiko Hassan amemuomba Mungu aiepushe Tanzania na machafuko wakati huu taifa likijiandaa kwa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba mwaka huu. Staa wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Akipiga stori na gazeti hili, msanii huyo aliwataka watu kutofanya mambo kwa kufuata mkumbo kwani uchaguzi unaonekana kuwa mgumu wenye mchuano mkali baina ya vyama vyote vya siasa. “Nina...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi kunasubiri kuwapo machafuko?
Kama kuna jambo ambalo limewafanya wananchi wengi kukuna vichwa kwa muda mrefu pasipo kupata majibu, ni kutoundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia chaguzi mbalimbali na mchakato wa kupata Katiba Mpya katika ngazi zote zilizosalia, baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kumaliza kazi yake rasmi wiki ijayo.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Lipumba aishukia ZEC kufuta uchaguzi Zanzibar
Mwenyikiti Mstaafu wa Chama cha Wananchi Cuf, Prof Ibrahim Lipumba amesema Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salum Jecha amekiuka sheria kwa  kusitisha utangazaji wa matokeo kwani inaweza kuleta mgogoro wa kisiasa.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Marekani yasikitishwa na tamko la ZEC kufuta uchaguzi Z’bar
Serikali ya Marekani imesema imestushwa na tamko lililotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ambapo ametamka kusudio lake la kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar.
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Kitongoji kilichojivunia kukaribisha Papa
Papa Francis alikamilisha ziara yake leo hii nchini Kenya, lakini siku yote ameangazia umaskini na kuwathamini vijana.
10 years ago
Vijimambo16 Dec
PARTY YA KUKARIBISHA MWAKA 2015 DMV
USIKU HUU UTAJUMUISHA YAFUATAYO;
UFAFANUZI MURUA KUTOKA KWA IMMINGRATION LAWYER KUHUSU SHERIA ZA UHAMIAJI ZILIZOPITISHWA CHINI YA UONGOZI WA MHE. RAIS BARACK...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan
![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s1600/unnamed+(14).jpg)
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kuna umuhimu gani kwa wanawake wa Uganda kupiga magoti wakisalimia na kukaribisha chakula
Nchini Uganda, wanawake wa jamii ya Buganda na huwa wana utaratibu wa kupiga magoti wakati wanapoandalia watu chakula na wanaposalimia
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/41x6uoCW2G8/default.jpg)
Dkt Shein Atoa salamu Kwa Wananchi Kukaribisha Mwaka Mpya na habari zingine kupitia simu TV
Wachezaji wa klabu ya Simba jana wamelionja joto la jiwe baada ya mashabiki wa Ndanda FC kuwavamia wachezaji wakati wa mazoezi. https://youtu.be/6kqjr9XjQ00
Timu ya CDA imetupwa nje katika mashindano ya kombe la shirikisho baada ya kupokea kichapo cha bao 1 toka kwa Singida United. https://youtu.be/KmxQHdfWOqUSerikali imetoa tamko kuwa itaendelea kuwalipa mishahara makocha wote wa timu za taifa https://youtu.be/Ochi73k6Q64Fahamu mengi kutoka kwa Mch. Samwel Maela akikufundisha mengi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania