Kumbe ndiyo maana Tanzania haiendelei
>Januari 12 mwaka huu wakati Wazanzibari wakisherehekea miaka 50 ya Mapinduzi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein alihitimisha hotuba yake kwa kusema kuwa siku ya Jumatatu, Januari 13 itakuwa ni mapumziko kwa Wazanzibari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*JMqoAbUa-8LG*oV20xik83KbpRHQUd9M5pVxRYAc3fkziNlCLERAtSjA5Zv6j0tvUTWYvHnk9ZZuTjxwJtG9S/d.jpg?width=650)
DUDE: AKILI YANGU MBOVU NDIYO MAANA SIOI
Stori: Imelda Mtema/Risasi
STAA wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba, amesema licha ya kuishi na mzazi mwenzie kwa zaidi ya miaka kumi, anashindwa kuoa kwa sababu akili yake siyo nzuri. Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba. Akipiga stori mbili tatu na mwanahabari wetu, Dude alisema linapokuja suala la kulaumiwa kuchelewa kuoa, anastahili kwani hakuna kitu kinachomsababisha asioe zaidi ya akili yake kuwa mbovu. “Mimi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IYNVEV2uFEc/XkmP_5n8JcI/AAAAAAALdpA/MxWior1ipc48Of3YJVUFwQfmBIce67YiQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c8988d3-f21d-49b4-a7de-16e42f87d4de.jpg)
HII NDIO MAANA HALISI YA "SISI NI TANZANIA MPYA"
![](https://1.bp.blogspot.com/-IYNVEV2uFEc/XkmP_5n8JcI/AAAAAAALdpA/MxWior1ipc48Of3YJVUFwQfmBIce67YiQCLcBGAsYHQ/s640/8c8988d3-f21d-49b4-a7de-16e42f87d4de.jpg)
1. Tanzania Leo hii ni nchi ya 7 kwa uwekezaji Afrika.
2. Tanzania ya Leo imepanda kwa nafasi 13 katika Mwaka 2016 na Mwaka 2017 na pia ikishika nafasi ya pili kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.
3. Tanzania ya Leo uchumi umekuwa hadi kufikia asilimia 7.2 toka asilimia 5.1 ya hapo awali.
4. Tanzania ya Leo Elimu kuanzia ya Msingi hadi ya Sekondari ni bure. Hapa adui ujinga anapigwa Vita kwa vitendo.
5. Tanzania ya Leo ina miliki ndege zake takribani...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Kumbe urais wa Tanzania una zamu!
Wiki tatu zilizopita nikiwa nchini Ghana, nilipata ujumbe kutoka kwa msomaji wangu wa safu hii.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pX4h1nu50oF0CLDrKW9CB1RQxOHRGgTrRW-M553f1zMfAgACqK1SwymX9DltH2XOQWx1VTxg1rLwoLYNidMZakYMrAm3M2SH/nyerere_1976_state_house.jpg)
KUMBE MATATIZO YA TANZANIA YATAANZA KWISHA OKTOBA 25!!!
Rais wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere. Na Walusanga Ndaki KUMBE nchi hii ina wataalam kibao! Ina wataalam kibao wanaoweza kutatua matatizo lukuki ambayo yamewakosesha raha mamilioni ya watu wa nchi hii tangu ilivyopata uhuru Desemba 1, 1961 ambapo Zaidi ya asilimia 80 ya watu wake walikuwa hawajazaliwa! Mfano mzuri wa watu hao ni wale waliotangaza nia ya kugombea urais kutoka Chama...
10 years ago
Michuzi17 Apr
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qnXigDolgdM/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema03 Nov
Hii ndiyo Tanzania
KUNA usemi wa wahenga kwamba, majaribu yasipokuua yanakuimarisha zaidi, Tanzania kama taifa, lime
Mwandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo25 Mar
SHILINGI YA TANZANIA NDIYO HIYO CHALI
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9, hali ambayo imeelezwa kuchangiwa na sababu za kiuchumi za ndani na nje ya nchi.
Halima Nyanza anaangazia sababu zilizosababisha kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania.
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Wasira: Hii ndiyo Tanzania ninayoitaka mimi
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira ametangaza nia ya kuwania urais akisema iwapo CCM itampa ridhaa ya kupeperusha bendera yake, atahakikisha utendaji wa Serikali yake unakuwa wa kitaasisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania