Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbe urais wa Tanzania una zamu!

Wiki tatu zilizopita nikiwa nchini Ghana, nilipata ujumbe kutoka kwa msomaji wangu wa safu hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu

Juma Kaseja.  Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa, kumbe Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amempangia mechi za kudaka kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja, ambapo atapokezana na wenzake kwa kila mmoja kupewa mechi tatu huku yeye akiwa wa mwisho katika orodha hiyo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Nimebaini , kumbe urais wetu ni kitu rahisi

>Ni dhahiri kwamba jamii yetu imeanza kugawanyika kwa kiasi kikubwa,  hasa wakati huu ambao watu mbalimbali wameanza kujitangaza, baadhi wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwakilisha chama tawala, CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao.

 

10 years ago

Michuzi

Holiday Greetings from UNA Tanzania

Happy Holidays from the
United Nations Association of TanzaniaLikeFollowCirclewww.una.or.tz

 

11 years ago

Mwananchi

Kumbe ndiyo maana Tanzania haiendelei

>Januari 12 mwaka huu wakati Wazanzibari wakisherehekea miaka 50 ya Mapinduzi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein alihitimisha hotuba yake kwa kusema kuwa siku ya Jumatatu, Januari 13 itakuwa ni mapumziko kwa Wazanzibari.

 

10 years ago

GPL

KUMBE MATATIZO YA TANZANIA YATAANZA KWISHA OKTOBA 25!!!

Rais wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere. Na Walusanga Ndaki KUMBE nchi hii ina wataalam kibao! Ina wataalam kibao wanaoweza kutatua matatizo lukuki ambayo yamewakosesha raha mamilioni ya watu wa nchi hii tangu ilivyopata uhuru Desemba 1, 1961 ambapo Zaidi ya asilimia 80 ya watu wake walikuwa hawajazaliwa! Mfano mzuri wa watu hao ni wale waliotangaza nia ya kugombea urais kutoka Chama...

 

10 years ago

GPL

USIJISAHAU, UNA HAKI YA KUMPENDA, UNA HAKI YA KUMTOSA!

Hakuna ubishi mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammis, ukiwa naye unajiona ni mwenye bahati kwa faraja anayokupa, ni lazima utahisi umepungukiwa kitu muhimu. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisi. Kitu ambacho anaweza kuingiza usanii...

 

10 years ago

Vijimambo

USIJISAHAU, UNA HAKI YA KUMPENDA, UNA HAKI YA KUMTOSA!

Hakuna ubishi mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammis, ukiwa naye unajiona ni mwenye bahati kwa faraja anayokupa, ni lazima utahisi umepungukiwa kitu muhimu.

Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisi. Kitu ambacho anaweza kuingiza usanii na mambo yakaenda. Hapa namaanisha hivi, mtaani kuna watu wa...

 

9 years ago

Bongo5

Una kipaji au uwezo wa kuandika mashairi? Badilisha Poetry X-Change ipo njiani kuja Tanzania

Taasisi ya Africa Centre imekuja na shavu jingine kwa waandishi wa mashairi au malenga kuonesha uwezo wao. Kupitia mradi huo uitwao, Badilisha Poetry X-Change, waandishi wanaweza kuwasilisha mashairi yao kwa maneno au katika mfumo wa sauti kwa kuingia kwenye link hii. Badilisha Poetry X-Change ni maktaba kubwa ya mtandaoni ya maishairi ya kiafrika duniani kote. […]

 

9 years ago

Vijimambo

MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA

DONALD TRUMP
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani