Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBE MATATIZO YA TANZANIA YATAANZA KWISHA OKTOBA 25!!!

Rais wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere. Na Walusanga Ndaki KUMBE nchi hii ina wataalam kibao! Ina wataalam kibao wanaoweza kutatua matatizo lukuki ambayo yamewakosesha raha mamilioni ya watu wa nchi hii tangu ilivyopata uhuru Desemba 1, 1961 ambapo Zaidi ya asilimia 80 ya watu wake walikuwa hawajazaliwa! Mfano mzuri wa watu hao ni wale waliotangaza nia ya kugombea urais kutoka Chama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kumbe ndiyo maana Tanzania haiendelei

>Januari 12 mwaka huu wakati Wazanzibari wakisherehekea miaka 50 ya Mapinduzi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein alihitimisha hotuba yake kwa kusema kuwa siku ya Jumatatu, Januari 13 itakuwa ni mapumziko kwa Wazanzibari.

 

10 years ago

Mwananchi

Kumbe urais wa Tanzania una zamu!

Wiki tatu zilizopita nikiwa nchini Ghana, nilipata ujumbe kutoka kwa msomaji wangu wa safu hii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusirudie makosa, tujadili matatizo ya Tanzania

JOTO la uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani linapoanza kupanda, tunaelekea kufanya makosa yaleyale ya miaka yote. Tunaanza kuwajadili watu na vyama vyao badala ya kuyajadili matatizo ya taifa letu. Swali...

 

9 years ago

Mwananchi

Matatizo sugu ya Ligi Kuu Tanzania Bara

Ligi Kuu Tanzania Bara hivi sasasa imesimama huku Azam FC ikiwa kileleni ikifuatiwa kwa ukaribu na Yanga wakati timu za African Sports na JKT Ruvu zikining’inia mkiani mwa ligi hiyo.

 

9 years ago

Vijimambo

Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?


Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?

 

10 years ago

GPL

ZARI WA DIAMOND KWISHA!

Stori: Erick Evarist BUUUU! Hizo ndizo kauli zilizozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii mara baada ya habari ya kurekodiwa video ya utupu ya mwanadada anayedaiwa kuwa mwandani mpya wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ kuchapishwa gazetini nchini Uganda, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. Pichani ‘Zari’, ‘The Boss...

 

9 years ago

Mwananchi

Oktoba 25 inaweza kubadili historia ya Tanzania?

Oktoba 25, inaweza kuwa ndiyo siku muhimu kuliko zote mwaka huu kwa Watanzania. Hiyo inatokana na ukweli kwamba ni siku ambayo wananchi 22.75 milioni wanatarajiwa kupiga kura kuchagua viongozi watakaoiongoza nchi yetu kwa miaka mitano ijayo. Si ajabu kwamba kila Mtanzania anajua umuhimu wa Oktoba 25 ingawa wapo wanaojua zaidi. Wachambuzi wa mambo wanabashiri uwezekano wa kubadilisha historia ya nchi ya Tanzania kwa kupata kiongozi kutoka chama mbadala, mbali na CCM kinachotawala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani