Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimebaini , kumbe urais wetu ni kitu rahisi

>Ni dhahiri kwamba jamii yetu imeanza kugawanyika kwa kiasi kikubwa,  hasa wakati huu ambao watu mbalimbali wameanza kujitangaza, baadhi wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwakilisha chama tawala, CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kumbe urais wa Tanzania una zamu!

Wiki tatu zilizopita nikiwa nchini Ghana, nilipata ujumbe kutoka kwa msomaji wangu wa safu hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2

Nilipoandika wiki iliyopita kwamba kumbe miili yetu haina thamani tena, kwa hakika sikuwa natania.

 

5 years ago

Michuzi

MREMA: RAIS MAGUFULI NDIYE MGOMBEA WETU WA URAIS UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA



Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augistino Lyatonga Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka huu 2020.

*********************************

Na Mwandishi Wetu, MAELEZO,
DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party, Augustino Mrema amesema chama hicho kinaendelea na msimamo wake wa kumuunga mkono, Rais Dkt. John Magufuli kuwa mgombea wake wa nafasi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

11 years ago

GPL

NJIA RAHISI ZA KUKUTENGENEZEA UTAJIRI

Warren Buffett. Akiwa na mali yenye thamani ya dola za Marekani Bilioni 62, Warren Buffett ndiye binadamu tajiri kuliko wote duniani. Mwaka 1962 wakati akianza kununua hisa katika kampuni ya Berkshire Hathaway, hisa moja ilikuwa na thamani ya Dola 7.50. Leo, Warren Buffett, akiwa na umri wa miaka 78, ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo na hisa moja hivi sasa ina thamani ya dola 119,000.
Zifuatazo ni baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga

INASHANGAZA kuona jengo linachukua mwaka au zaidi kujengwa lakini halimalizi wiki kuvunjwa. Ndivyo yalivyo maisha yetu ya kila siku. wengi tunahangaika kuonekana vizuri mbele ya wengi lakini mwisho tunasahau kurekebisha...

 

11 years ago

GPL

NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA UTAJIRI- 2

Warren Buffett. WIKI iliyopita tuliangalia kanuni tano zilizomfanya tajiri namba moja duniani, Warren Buffett kufanikiwa katika maisha yake, leo tunamalizia kanuni tano za mwisho ambazo kama utazifuata, unaweza kufanikiwa kirahisi katika kuyafikia mafanikio. Usiwe mtu wa mikopo mikopo
Kuishi katika mikopo hakuwezi kukufanya ukawa tajiri. Tajiri maarufu duniani Mmarekani  Warren Buffett hakuwahi kukopa, iwe kwa ajili ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kawambwa: Uwekezaji wa elimu si rahisi

WIZARA ya Maji imeunda Kamati Maalumu kufanya tathmini ya kina, ili kujua chanzo cha matukio ya kukatika kwa huduma ya maji mara kwa mara katika mtambo wa maji wa Ruvu...

 

10 years ago

GPL

NI RAHISI MWANAMKE ALIYEAJIRIWA KUSALITI!

KWANZA nianze kwa kuwashukuru wasomaji wote wa safu hii, waliowasiliana na mimi kwa namna moja au nyingine, katika kubadilishana mawazo juu ya uhusiano. Ni faraja kugundua kwamba wapo watu wanaofuatilia unachokiandika na kisha kutaka kuchangia neno. Mada yangu ya leo inaweza kuniletea ugomvi na waajiriwa wenzangu wanawake, lakini panapo ukweli ni vyema tukasema, kwa sababu unasaidia katika kurekebisha na wakati mwingine hata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani