Una kipaji au uwezo wa kuandika mashairi? Badilisha Poetry X-Change ipo njiani kuja Tanzania
Taasisi ya Africa Centre imekuja na shavu jingine kwa waandishi wa mashairi au malenga kuonesha uwezo wao. Kupitia mradi huo uitwao, Badilisha Poetry X-Change, waandishi wanaweza kuwasilisha mashairi yao kwa maneno au katika mfumo wa sauti kwa kuingia kwenye link hii. Badilisha Poetry X-Change ni maktaba kubwa ya mtandaoni ya maishairi ya kiafrika duniani kote. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 May
Una Kipaji cha Kuigiza?! Kampuni ya Eagles Inakuhitaji
Kampuni ya Eagles Entertainment inayojishughulisha na utengenezaji wa muziki na filamu ipo katika mikakati ya kufanya usaili kwa ajili ya maandalizi ya kurekodi tamthilia kali na ya kipekee hapa Bongo, mkurugenzi wa kampuni hiyo Yuster Nyakachara anafafanua.
Tutakuwa na zoezi la kutafuta wasanii wenye vipaji kwa ajili ya tamthilia yetu ambayo ni ya kipekee kabisa kutengenezwa na ratiba yetu ni kuanza kushuti mwezi wa saba,”anasema Mghesi.
Kampuni inatarajia kuanza kufanya usaili mapema...
10 years ago
Bongo506 Nov
Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!
9 years ago
Bongo530 Dec
Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi
![12356592_764354003692580_994120953_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356592_764354003692580_994120953_n-300x194.jpg)
Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?
Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.
Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.
Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Tanesco: Mgodi wa Kidatu bado una uwezo
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco), limesema mgodi wa kufua umeme uliojengwa Kidatu Morogoro mwaka 1975, bado una uwezo wa kuzalisha nishati hiyo kwa kiwango cha kutosha. Kauli hiyo,...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Je una uwezo wa kushawishi watu wengine waafikiane na mawazo yako?
9 years ago
Bongo507 Dec
Msechu awataja watu wa mwanzo kumkosoa kuhusu uwezo wake wa kuandika
![Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Msechu-300x194.jpg)
Baada ya Peter Msechu kukiri kuwa hana uwezo mkubwa katika uandishi wa nyimbo zake, amewataja watu wa kwanza kumkosoa na kumwambia ukweli kuwa hawezi kuandika vizuri.
Msechu amewataja Ruge Mutahaba, Master Jay, Ditto, Barnaba na wengine ndio waliokuwa wa mwanzo kumpa ukweli wa mapungufu yaliyokuwa yakimkwamisha kufanya vizuri kwenye nyimbo alizokuwa akitoa.
“Mtu wa kwanza kabisa ni Ruge, aliniita kabisa personally akaniambia we Msechu una uwezo mkubwa sana wa kuimba lakini njia unayoenda...
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
9 years ago
Bongo513 Oct
Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja
10 years ago
Michuzi18 Dec
Holiday Greetings from UNA Tanzania
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/0L2rrbvD9ogP2FbOHyBssW8uhM_q_GhB7V2CuBISzR_89kIk4DVM0QXDNWHLv115AtXJob-GcdWhKjPSLt_Se7b19_WE5KskwXw0085IgIgjk0lqtqe-8FPWrveD-vHi2dIclx2jWahTyh7E2EqAwAvY9li9aphty2AOu8s=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/32cf807e73ff29984e793b658/images/c2118f2f-5abc-4e3b-b0bc-de08427c9035.png)
United Nations Association of Tanzania
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/rif7YyC3dO9ikvkRiU3_coNWYoLYwJDXMCEaLQiFVlP1XGTKoe3Mx2H77fQhfoHQHDRpARZKJh7Ofixcqhjb2FY2Ps_iCZCA-bbFwv1gfhGf0ciYdftHXhhi7JIKQfT-z_n3UNaU645Hkj_8k5aPDRm1TbJ6k8cjXJijARo=s0-d-e1-ft#https://gallery.mailchimp.com/32cf807e73ff29984e793b658/images/171a692d-c256-47de-aab6-015f6eb1fbbd.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/2pLQxuD5zCi1BQcldLfgL7__ELRo7zZGgXhYRCaRto7_kAmQof1CaFjxqUrzpTRYUTo2gRC_QOoXUAR-7YpveIOB61CE8DaLkusI_Kt9oiLUNQsjFkgKF6LbVsyp5yekiA=s0-d-e1-ft#http://cdn-images.mailchimp.com/icons/social-block-v2/light-facebook-48.png)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/rKaqGXwi30ocxQj14qCQdWhg93lU9cqsHSqpSi2hsvVNLWlCcvREMB601uyF6PKZQEH953gcaOMEalYtJdy0IEHJ3G60_hFQNQ9CFa4klalrjZnjhJy8Tc7LxbNOlfWJ=s0-d-e1-ft#http://cdn-images.mailchimp.com/icons/social-block-v2/light-twitter-48.png)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/uErZoU8UwVtVSZJrDBmD_Wvbqzovuii6ArEozS3j9xjlSg-6bin4VRMYa0TSvHc54xOz7k8jiwDCuTu-cKWLuSXp_pOB25Ga13TNbMKj-AikTuxV-eLuRHrCQ-e65i-wZaXO=s0-d-e1-ft#http://cdn-images.mailchimp.com/icons/social-block-v2/light-googleplus-48.png)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/iEb2E3rM7NzFr0Y-D98NgA99LoeotOh_s2kdc1KVRu4nGJPyWDaSLjKf9dz8HHDgGOaj_QlLYJ5c3KfbhIhWrEiHlCAakfLi5IWs0NwTnazYHFzWTOdUKweS-QoZ=s0-d-e1-ft#http://cdn-images.mailchimp.com/icons/social-block-v2/light-link-48.png)