Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Una kipaji au uwezo wa kuandika mashairi? Badilisha Poetry X-Change ipo njiani kuja Tanzania

Taasisi ya Africa Centre imekuja na shavu jingine kwa waandishi wa mashairi au malenga kuonesha uwezo wao. Kupitia mradi huo uitwao, Badilisha Poetry X-Change, waandishi wanaweza kuwasilisha mashairi yao kwa maneno au katika mfumo wa sauti kwa kuingia kwenye link hii. Badilisha Poetry X-Change ni maktaba kubwa ya mtandaoni ya maishairi ya kiafrika duniani kote. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Una Kipaji cha Kuigiza?! Kampuni ya Eagles Inakuhitaji

Kampuni ya Eagles Entertainment inayojishughulisha na utengenezaji wa muziki na filamu ipo katika mikakati ya kufanya usaili kwa ajili ya maandalizi ya kurekodi tamthilia kali na ya kipekee hapa Bongo, mkurugenzi wa kampuni hiyo Yuster Nyakachara anafafanua.

Tutakuwa na zoezi la kutafuta wasanii wenye vipaji kwa ajili ya tamthilia yetu ambayo ni ya kipekee kabisa kutengenezwa na ratiba yetu ni kuanza kushuti mwezi wa saba,”anasema Mghesi.

Kampuni inatarajia kuanza kufanya usaili mapema...

 

10 years ago

Bongo5

Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!

Kuna vipaji vingi vya muziki hapa nchini ambavyo kutokana na sababu mbalimbali, vimeshindwa kuonekana. Kikwazo kikubwa ni gharama za kuingia studio na kurekodi wimbo wenye kiwango kizuri cha kuchezwa redioni. Hata kwa wale waliofanikiwa kurekodi nyimbo zao, bado wanakutana na vikwazo vingi pale wanapopeleka nyimbo zao kwenye vituo vya redio. Kutokana na kuwepo wingi wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi

12356592_764354003692580_994120953_n

Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?

Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.

Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.

Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanesco: Mgodi wa Kidatu bado una uwezo

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco), limesema mgodi wa kufua umeme uliojengwa Kidatu Morogoro mwaka 1975, bado una uwezo wa kuzalisha nishati hiyo kwa kiwango cha kutosha. Kauli hiyo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Je una uwezo wa kushawishi watu wengine waafikiane na mawazo yako?

Nilipofikiria kuandika makala kuhusu uwezo wa kushawishi watu wengine wakubaliane na mawazo yetu niliingiwa na shaka kuwa huenda baadhi ya watu wasione umuhimu wa mtu kuwa na stadi kama hizo.

 

9 years ago

Bongo5

Msechu awataja watu wa mwanzo kumkosoa kuhusu uwezo wake wa kuandika

Msechu

Baada ya Peter Msechu kukiri kuwa hana uwezo mkubwa katika uandishi wa nyimbo zake, amewataja watu wa kwanza kumkosoa na kumwambia ukweli kuwa hawezi kuandika vizuri.

Msechu

Msechu amewataja Ruge Mutahaba, Master Jay, Ditto, Barnaba na wengine ndio waliokuwa wa mwanzo kumpa ukweli wa mapungufu yaliyokuwa yakimkwamisha kufanya vizuri kwenye nyimbo alizokuwa akitoa.

“Mtu wa kwanza kabisa ni Ruge, aliniita kabisa personally akaniambia we Msechu una uwezo mkubwa sana wa kuimba lakini njia unayoenda...

 

9 years ago

StarTV

Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta

Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.

Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...

 

9 years ago

Bongo5

Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja

Albert Mangwair alikuwa ni rapper genius, kwa mujibu wa Izzo Bizness. Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Izzo amesema alifahamiana na Ngwair tangu yuko Mbeya kabla ya kuja kumshirikisha kwenye ngoma yake ‘Ball Player’ wakiwa na Quick Rocka. “Ngwair ni mtu ambaye nilisema angeamua, angekuja kuvunja historia ya muziki labda Tanzania,” anasema Izzo. “Alikuwa […]

 

10 years ago

Michuzi

Holiday Greetings from UNA Tanzania

Happy Holidays from the
United Nations Association of TanzaniaLikeFollowCirclewww.una.or.tz

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani