Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbe Unajua Kiingereza - Cheka na Mimi (Komedi)

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

GPL

KUMBE NA MIMI NINA PRESHA YA KUPANDA

Hakika wiki hii ndio nimegundua kuwa kumbe na mimi nina presha. Ungeniambia kuwa mimi nilikuwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo wiki mbili zilizopita, ningekukatalia na pengine ningeanzisha ngumi kukuonesha tu kuwa niko fiti, au labda ningepiga pushap kama kumi za harakaharaka ujue kuwa niko safi. Lakini wiki hii nimegundua kumbe hali siyo kamili. Jumapili niliamka alfajiri, kwa furaha nikaoga nikawa narukaruka na kuimba nyimbo za...

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?

Suala la matumizi ya lugha Tanzania limeleta ushindani mzito kati ya Kiswahili na Kiingereza.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

ORIGINO KOMEDI WAMWAGWA!

Stori: Mwandishi Wetu KUNDI maarufu la vichekesho ambalo kwa sasa ni kama halipo, limepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa meneja wao, mtangazaji nyota wa zamani wa televisheni, Christina Mosha maarufu kama Seven, kuwamwaga na hivyo kuachana nao. Baadhi ya waigizaji wa kipindi cha orijino Komedi kutoka kushoto ni Joti, Wakuvanga, Mpoki, Masanja mkandamizaji na Maclegan. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Seven alisema ameachana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Light: Sipendi Komedi Zinatudhalilisha Wanawake

Mwigizaji wa kike wa filamu Ligth butterfly Mushi ‘Light’ amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kuigiza Komedi kwa sababu ni udhalilishaji hasa kwa wanawake, anasema kuwa aliwahi kuchaguliwa kucheza Komedi ya Inye lakini baadae aligundua kilichofanya achaguliwe ni maumbile yake.

“Tunaigiza filamu hakuna udhalilishaji lakini kuna Komedi tuliwahi kucheza ilikuwa inataka wasanii wa kike wawe na maumbile makubwa yaani makalio, kuchesha makalio sasa huo si uchekeshaji ni udhalilishaji, hicho ndio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani