KUMBE NA MIMI NINA PRESHA YA KUPANDA
![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW22x8Fu2TfoIsP2Y6S-SLpXUyqo0FK2HqQKr7zrJkFPKHgzzh3k7cBYfU5ZYk2MB5mrDO*nqas--g4AGqx5YCs1o/CHEKANAKITIME1.jpg)
Hakika wiki hii ndio nimegundua kuwa kumbe na mimi nina presha. Ungeniambia kuwa mimi nilikuwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo wiki mbili zilizopita, ningekukatalia na pengine ningeanzisha ngumi kukuonesha tu kuwa niko fiti, au labda ningepiga pushap kama kumi za harakaharaka ujue kuwa niko safi. Lakini wiki hii nimegundua kumbe hali siyo kamili. Jumapili niliamka alfajiri, kwa furaha nikaoga nikawa narukaruka na kuimba nyimbo za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz59rLxARnoXSKhgFXJnwlqCr93aaA2s6AOjsuw7oBCPO0-RHuHW5Vzcm1SWSvlXzWWBna7XH02WrCZuWpMb5WL5/mateso.gif?width=650)
MAMA: AWALI NILIJUA NINA UJAUZITO KUMBE SIYO
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hpdL2Q1-Ww8/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Mimi ni waziri, nina haki zangu, ajitetea Wasira
10 years ago
CloudsFM16 Feb
Kumbe Dully alipata taarifa za kifo cha baba yake akijiandaa kupanda stejini kufanya shoo
Habari zinasema kuwa msanii wa Bongo Fleva,Dully Sykes alipata taarifa za msiba wa baba yake wakati akijiandaa kupanda stejini kwenye shoo moja iliyofanyika mwishoni mwa wiki hii maeneo ya Mbezi Luis,jijini Dar.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2zExn--dW5g/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMf2zpmbdH7Q1BjMAh*BXMOObh06-olWaij09ehE*BOSQ*uvmuMqWA9w2-aSdyagL5a2ljG*KRt33*AwZKrgPOl/CCMJB.gif?width=650)
JB PRESHA YAPANDA
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Presha tupu,
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Lulu : Kuhongwa ni Presha Tu!
UBUYU: Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ ametoboa kuwa fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.
Lulu alisema kuwa wasichana walio wengi wanapenda kupokea fedha na vitu mbali mbali kutoka kwa wanaume lakini changamoto kubwa inayowakuta ni namna ya kulipa fadhila ya walivyopewa
" vitu vya kuhongwa ni vizuri lakini vina presha kubwa katika suala la kulipa fadhila kwani msichana unalazimika kufanya kila aina ya ujuacho ili...
10 years ago
Habarileo08 Jul
‘Hatutachagua kwa presha’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitachagua mgombea wa kiti cha urais kwa presha za wapambe wa wagombea.